Serikali idhibiti utoroshaji wanyama kwenda nje
Jana katika gazeti hili tulichapisha habari iliyokuwa ikieleza kuwa Polisi Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), inamshikilia raia wa Kuwait kwa tuhuma za kukutwa na kenge 149, kati yao 134 wakiwa hai akidaiwa kutaka kuwasafirisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi.jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi
11 years ago
Mwananchi31 May
Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi
11 years ago
Tanzania Daima02 Nov
Kampuni yahusishwa vibali vya utoroshaji wanyama
KAMPUNI ya HAM Marketing and Gumbo Enterprise ya jijini Arusha imetajwa kuhusika katika uombaji wa vibali vya kukamata wanyama hai 154, wakiwemo Twiga wanne waliotoroshwa kwenda uarabuni kupitia uwanja wa Kimataifa...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
‘Serikali idhibiti solar feki’
SERIKALI imeombwa kuziongezea nguvu mamlaka zake zinazodhibiti uingizwaji wa bidhaa nchini ili kuepuka kuwapo kwa bidhaa hafifu za umeme wa mionzi ya jua (solar). Wito huo ulitolewa jijini Dar es...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli
Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani alifuta safari za Watumishi wa serikali nje ya nchi na iwapo itatokea kuna safari za nje, ruhusa ni lazima itoke kwake au kwa katibu mkuu kiongozi, baada ya hayo kuna Watumishi wanne ambao wamekwenda nje ya nchi bila ruhusa yake, wamezungumziwa kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Mwananchi19 Sep
Serikali idhibiti kilimo cha tumbaku-TTCF
11 years ago
Mwananchi16 May
Sakata la kutorosha wanyama hai kwenda Qatar laibuliwa bungeni
9 years ago
StarTV23 Dec
Utoroshaji Nyara Za Serikali, Tanzanite  Maafisa sita KIA, askari matatani Â
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Amos Makalla ameagiza kusimamishwa kazi maafisa sita wa idara ya usalama katika uwanja wa ndege wa Kimataifa KIA pamoja na askari mmoja wa kituo kidogo cha polisi cha KIA sanjenti Edward Myaga baada ya kuhusishwa na tuhuma za kushirikiana na watoroshaji wa nyara za Serikali na madini aina ya Tanzanite yenye thamani zaidi ya shilingi bilioni 2.
Maafisa waliosimamishwa kazi ni pamoja na Kefa Langia, Tumaini Mkojera, Recho Shayo na Debora Komba.
Wengine ni Frank...
10 years ago
Michuzi
SERIKALI YAKANUSHA WANYAMA KUTOROSHWA NCHINI

Katibu Mkuu wa Wizara Maliasili na Utalii, Dkt. Adelhelm Meru (Pichani) ameziita habari hizo kuwa za uongo, uzushi na uchochezi.
Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Dkt. Meru alisema jambo hilo si la kweli na linalenga kuleta chuki dhidi ya serikali.
“Picha zile zimetolewa...