Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli
Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani alifuta safari za Watumishi wa serikali nje ya nchi na iwapo itatokea kuna safari za nje, ruhusa ni lazima itoke kwake au kwa katibu mkuu kiongozi, baada ya hayo kuna Watumishi wanne ambao wamekwenda nje ya nchi bila ruhusa yake, wamezungumziwa kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Maagizo ya Rais Magufuli kuhusu safari za nje za watendaji wa Serikali yaanza kutekelezwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-hmGaRwCcQgI/VlhrgFXhnYI/AAAAAAAIIoM/eidItoUVTFM/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-27%2Bat%2B5.39.59%2BPM.png)
Wizara imezielekeza Balozi zote zilizopo maeneo mbalimbali duniani kujipanga ili kushiriki kikamilifu katika kuiwakilisha Serikali kwenye mikutano yote ya kimataifa na kikanda...
9 years ago
Bongo517 Dec
Kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu – Fid Q
![Fidq](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Fidq-300x194.jpg)
Fid Q anaiunga mkono kasi ya wasanii wa Bongo kwenda kushoot video zao nje ya nchi, na kuongeza kuwa inasaidia kufanya watu wafatilie kwa ukaribu ujio wa kazi hiyo.
“Nadhani kwenda kufanya video nje ya nchi ni kama trend tu, unajua wabongo ukisema unaenda kufanya video nje ya nchi tayari wanakuwa wanaisubiria kwahiyo sidhani kama ni kosa, ni kitu kizuri kwasababu kinasaidia mtu kunotice kama kuna kitu ulifanya.” Alisema Fid Q kupitia 255 ya XXL.
“Nimeona wasanii wametoa video hivi karibuni...
5 years ago
MichuziKABUDI AWATAKA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUJITOA MUHANGA KWA MASLAHI YA NCHI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akifungua rasmi Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara lililofanyika kwenye Ukumbi wa Hazina jijini Dodoma tarehe 14 Machi, 2020. Pamoja na mambo mengine, Mhe. Prof. Kabudi amewataka Wafanyakazi wa Wizara hiyo kutekeleza majukumu yao kwa kujituma na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kanali Wilbert A. Ibuge...
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Serikali idhibiti utoroshaji wanyama kwenda nje
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA NCHI MAJIRANI ZA UMOJA WA KUDHIBITI SILAHA NDOGO (RECSA).
![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s1600/02.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s72-c/1+(1).jpg)
Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s1600/1+(1).jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAMUAGA RAIS KIKWETE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGANA NA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Magufuli kazuia Wabunge kwenda nje? kuongezeka pato la TZ? Dawa ya UKIMWI? (+Audio)
Baadhi ya Wabunge wakwama uwanja wa ndege baada ya kukosa kibali cha Bunge wala Ikulu kuwaruhusu wasafiri nje ya nchi… Watumishi wengine wanne wa TAKUKURU wasimamishwa kwa kusafiri nje ya TZ bila kibali, kuna stori pia kuhusu nauli za mabasi ya mwendokasi kuonekana ni mzigo kwa wananchi, ziko mara mbili ya nauli za sasa. Mtoto […]
The post Magufuli kazuia Wabunge kwenda nje? kuongezeka pato la TZ? Dawa ya UKIMWI? (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.