Sakata la kutorosha wanyama hai kwenda Qatar laibuliwa bungeni
>Sakata la raia wa Pakistan, Kamran Ahmed anayekabiliwa na mashitaka ya kutorosha wanyamapori 150, wakiwamo twiga wanne kwenda Arabuni, juzi lilitinga Bungeni mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo26 Mar
Kesi ya kutorosha wanyama hai yakwama tena
KESI ya utoroshwaji wa wanyama hai zaidi ya 100 kwenda Doha, Qatar, inayowakabili washtakiwa wanne katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi, imekwama tena baada ya mshtakiwa wa kwanza, Kamran Ahmed kutofika mahakamani hapo bila taarifa.
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Serikali idhibiti utoroshaji wanyama kwenda nje
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Qatar kwenda kortini kuhusu 2022.
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Wataka sakata la IPTL bungeni
10 years ago
Dewji Blog24 Mar
Bulembo ageukwa na wajumbe wake sakata la kwenda kwa Lowassa

Mjumbe wa Baraza la Wazazi, Taifa na Mbunge wa Korogwe, Steven Ngonyani ‘Prof .Maji Marefu’ akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma hii leo juu ya tuhuma za yeye kutajwa na mmoja wa wajumbe wa baraza hilo kuwa aliratibu na kulazimisha baadhi ya wajumbe wa baraza hilo kwenda kumuona Mbunge wa Munduli na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa.
Naye Mbunge wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani, alisema yeye alielezwa kuhusiana na safari hiyo na rafiki yake Vioroka Kajoko.
“Nimekuwa katika...
10 years ago
Mtanzania22 May
Sakata la wanawake Rombo laibukia bungeni
Na Debora Sanja, Dodoma
SIKU chache baada ya kuripotiwa kwa taarifa za wanawake wa Wilaya ya Rombo kulazimika kukodi wanaume kutoka nchini Kenya baada ya waume wao kuzidiwa kwa ulevi, hatimaye sakata hilo limechukua sura mpya kwa kuibukia bungeni.
Akihoji hatua hiyo jana, Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (Chadema), alimtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, awaombe radhi wananchi wa Wilaya ya Rombo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo, Lembles Kipuyo.
Selasini alidai Kipuyo ndiye aliyesema kwamba...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Sakata la IPTL kutinga bungeni Novemba 27
10 years ago
GPL
SAKATA LA TEGETA ESCROW, WABUNGE WAKINUKISHA BUNGENI
10 years ago
GPL
MJADALA WA SAKATA AKAUNTI YA ESCROW BUNGENI LEO