Serikali kudhibiti utoroshwaji wa madini nje ya nchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-8DWJmklRvYk/VGtanzEx3QI/AAAAAAAGyD8/7tkeuMdE7hw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Serikali imekua ikipoteza mapato mengi kutokana na utoroshwaji wa madini aina ya Tanzanite yanayopatikana nchini Tanzania pekee.
Kamishna wa Madini nchini,Eng Paul Massanja amesema leo wakati wa maonesho ya madini ya Vito yanayofanyika jijini hapa ambayo yanahudhuriwa na washiriki kutoka mataifa mbalimbali.
Amesema kwa takwimu za mwaka 2013,Tanzania ilipata dola za marekani 38 milioni wakati nchi ya Kenya ilijipatia kiasi cha dola 100 milioni na India ilijikusanyia kitita cha dola 300...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1SeEsbZpMHc/VGvHa-5SKQI/AAAAAAAGyIc/T7wUPb340v4/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHrjiWYEc8/XpcWIVHJ6wI/AAAAAAALnEc/OBsxrfgUk6wtLyzSwLH1DILV0SFybHz8QCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
KUDHIBITI UTOROSHWAJI WA MADINI SOKO LAZINDULIWA MKOANI NJOMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHrjiWYEc8/XpcWIVHJ6wI/AAAAAAALnEc/OBsxrfgUk6wtLyzSwLH1DILV0SFybHz8QCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
Akizungumza katika uzinduzi huo mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amesema kuwepo kwa soko hilo la madini itasaidia wachimbaji hao kutumia fursa na njia zilizosahihi kulipa mapato kwa serikali.
“Kuanzisha soko la madini katika mkoa wetu inakuwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s72-c/unnamed.jpg)
TMAA yapiga mnada madini yaliyokamatwa yakitoroshwa nje ya nchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali yaombwa kudhibiti biashara ya mazao nje kupunguza mfumko wa bei
Baadhi ya wananchi wakiwemo wafanyabiashara wa mazao mbalimbali jijini Mbeya wameiomba Serikali kudhibiti biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi hatua ambayo itasaidia kupunguza mfumko wa bei za vyakula.
Wamesema kwa sasa bei za vyakula kutoka kwa wakulima mashambani zimepanda tofauti na ilivyokuwa miezi michache iliyopita hali inayochagiwa na uuzwaji wa mazao hayo nje ya nchi.
Mazao yaliyopanda bei ni pamoja nyanya na Mchele ambao sasa unauzwa kati ya shilingi 34,000 mpaka 40,000 kwa debe...
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Serikali kuwabana madaktari inaowasomesha nje ya nchi
11 years ago
Mwananchi31 May
Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA UFAFANUZI JUU YA UPATIKANAJI WA VIBALI VYA KUSAFIRISHA MAZAO NJE YA NCHI
Akitoa ufafanuzi huo, Mwanasheria wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bwana George Mandepo (Pichani) alisema kuwa vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, hutolewa bila gharama na kuongeza kuwa biashara hiyo inaweza kufanywa na mtu yeyote, kinachotakiwa ni mhusika kuzingatia sheria na...
5 years ago
MichuziWABUNGE WAUNGA MKONO ZUIO LA SERIKALI UAGIZAJI VIFAA VYA UMEME NJE YA NCHI
Veronica Simba – Dar es Salaam
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imesema inaendelea kuunga mkono zuio la serikali kwa wakandarasi wa miradi mbalimbali ya umeme nchini kuagiza vifaa husika nje ya nchi.Akizungumza jijini Dar es Salaam, Machi 14 mwaka huu, baada ya Kamati hiyo kufanya ziara katika viwanda vya Europe Inc. Industries Ltd (Tropical) na Kilimanjaro Cables (T) Ltd (Africab), vinavyozalisha nyaya za umeme na mashine umba (transfoma), Mwenyekiti wa Kamati husika, Dunstan...
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli
Wakati Rais Magufuli anaingia madarakani alifuta safari za Watumishi wa serikali nje ya nchi na iwapo itatokea kuna safari za nje, ruhusa ni lazima itoke kwake au kwa katibu mkuu kiongozi, baada ya hayo kuna Watumishi wanne ambao wamekwenda nje ya nchi bila ruhusa yake, wamezungumziwa kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za […]
The post Kilichowakuta Watumishi wanne wa serikali waliosafiri kwenda nje ya nchi bila ruhusa ya Rais Magufuli appeared first on TZA_MillardAyo.