KUDHIBITI UTOROSHWAJI WA MADINI SOKO LAZINDULIWA MKOANI NJOMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHrjiWYEc8/XpcWIVHJ6wI/AAAAAAALnEc/OBsxrfgUk6wtLyzSwLH1DILV0SFybHz8QCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
Na Amiri kilagalila, NjombeSERIKALI mkoa wa Njombe imezindua soko la uuzaji wa madini ya dhahabu na vito kwa nia ya kudhibiti wimbi la utoroshaji wa madini uliokuwa unafanywa na wachimbaji waliokuwa wakikwepa kulipa mapato ya serikali.
Akizungumza katika uzinduzi huo mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amesema kuwepo kwa soko hilo la madini itasaidia wachimbaji hao kutumia fursa na njia zilizosahihi kulipa mapato kwa serikali.
“Kuanzisha soko la madini katika mkoa wetu inakuwa ni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8DWJmklRvYk/VGtanzEx3QI/AAAAAAAGyD8/7tkeuMdE7hw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshwaji wa madini nje ya nchi
Kamishna wa Madini nchini,Eng Paul Massanja amesema leo wakati wa maonesho ya madini ya Vito yanayofanyika jijini hapa ambayo yanahudhuriwa na washiriki kutoka mataifa mbalimbali.
Amesema kwa takwimu za mwaka 2013,Tanzania ilipata dola za marekani 38 milioni wakati nchi ya Kenya ilijipatia kiasi cha dola 100 milioni na India ilijikusanyia kitita cha dola 300...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s72-c/_MG_9335.jpg)
MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rK1VaY_EFGI/VeNpEL0ZFlI/AAAAAAAH1Dw/l8iu0v-1eeo/s640/_MG_9335.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zAT65H3Am_E/VeNpGtatB2I/AAAAAAAH1D4/FBH4SCVozZM/s640/_MG_9451.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-K6dpwzuXxpo/VeNojq8T0kI/AAAAAAAH1DQ/VgfvkNY33tI/s640/_MG_9275.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IQsdg8UMk10/Xm58-U5SQrI/AAAAAAALjyY/q4N7VvdOXq02vfq9ucvQmGCiRqiLvedJACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-Na-2-1-2048x1365.jpg)
Kamati ya Nishati na Madini yapongeza Soko la Madini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-IQsdg8UMk10/Xm58-U5SQrI/AAAAAAALjyY/q4N7VvdOXq02vfq9ucvQmGCiRqiLvedJACLcBGAsYHQ/s640/Picha-Na-2-1-2048x1365.jpg)
Fundi Sanifu Madini kutoka Ofisi ya Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Dar es Salaam, Marko Massaba (katikati) akihakiki madini yaliyopokelewa kutoka mikoani kwenye soko hilo mbele ya wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Picha-Na-3-1-scaled.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula (kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo (kulia) kwenye Soko la Kimataifa la Madini la Dar es Salaam wakati wa ziara ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kwenye...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Idara kudhibiti utoroshaji madini
10 years ago
Habarileo30 Aug
Watakiwa kudhibiti utoroshaji wa madini
WATAALAMU wanaosimamia sekta ya madini nchini wametakiwa kuongeza uwajibikaji ili kudhibiti utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi ambao umekuwa ukiikosesha serikali mapato.
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Soko huru kudhibiti viwango vya Rand
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dvNY-cf-qIo/XnSVNb0bJbI/AAAAAAALkhg/EdhfbBiJOIMSLx26Nr8hWzx-TtQwUGCuQCLcBGAsYHQ/s72-c/thumb_326_800x420_0_0_auto.jpg)
Njombe:World Benki,Tamisemi watembelea stendi na soko,wakutana na changamoto
Na Amiri kilagalila,Njombe
Timu ya wataalamu kutoka Benki ya Dunia na Ofisi ya Rais TAMISEMI imekagua mwenendo wa shughuli za ujenzi wa soko na stendi halmashauri ya mji wa Njombe ikiwa ni hatua za mwishoni kuelekea kumalizika kwa programu hiyo inayofadhiliwa na benki ya Dunia na kukagua mapendekezo ya mradi mpya wa barabara zinazotarajiwa kuingizwa kwenye mpango katika Programu zijazo.
Changamoto kubwa iliyobainika katika utekelezaji wa miradi hiyo ni kuchelewa kwa msamaha wa kodi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1SeEsbZpMHc/VGvHa-5SKQI/AAAAAAAGyIc/T7wUPb340v4/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.