Idara kudhibiti utoroshaji madini
>Idara ya Madini Kanda ya Kaskazini imejipanga kudhibiti vitendo vya utoroshaji wa madini nje ya nchi kwa kuweka wakaguzi katika mipaka ya Namanga, Horohoro na Holili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Aug
Watakiwa kudhibiti utoroshaji wa madini
WATAALAMU wanaosimamia sekta ya madini nchini wametakiwa kuongeza uwajibikaji ili kudhibiti utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi ambao umekuwa ukiikosesha serikali mapato.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1SeEsbZpMHc/VGvHa-5SKQI/AAAAAAAGyIc/T7wUPb340v4/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Interpol kudhibiti utoroshaji Tanzanite
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Sakata utoroshaji madini laendelea
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Utoroshaji madini ghafi washika kasi
WAKATI serikali imepiga marufuku usafirishaji wa madini ya tanzanite nje ya nchi yakiwa ghafi, bado kumekuwepo na wimbi la usafirishaji wa madini hayo kwa kutumia njia za panya kwenye mikoa...
10 years ago
Mwananchi19 Feb
TMAA yagundua njia 400 utoroshaji madini
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8DWJmklRvYk/VGtanzEx3QI/AAAAAAAGyD8/7tkeuMdE7hw/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshwaji wa madini nje ya nchi
Kamishna wa Madini nchini,Eng Paul Massanja amesema leo wakati wa maonesho ya madini ya Vito yanayofanyika jijini hapa ambayo yanahudhuriwa na washiriki kutoka mataifa mbalimbali.
Amesema kwa takwimu za mwaka 2013,Tanzania ilipata dola za marekani 38 milioni wakati nchi ya Kenya ilijipatia kiasi cha dola 100 milioni na India ilijikusanyia kitita cha dola 300...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHrjiWYEc8/XpcWIVHJ6wI/AAAAAAALnEc/OBsxrfgUk6wtLyzSwLH1DILV0SFybHz8QCLcBGAsYHQ/s72-c/hqdefault.jpg)
KUDHIBITI UTOROSHWAJI WA MADINI SOKO LAZINDULIWA MKOANI NJOMBE
![](https://1.bp.blogspot.com/-wmHrjiWYEc8/XpcWIVHJ6wI/AAAAAAALnEc/OBsxrfgUk6wtLyzSwLH1DILV0SFybHz8QCLcBGAsYHQ/s640/hqdefault.jpg)
Akizungumza katika uzinduzi huo mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amesema kuwepo kwa soko hilo la madini itasaidia wachimbaji hao kutumia fursa na njia zilizosahihi kulipa mapato kwa serikali.
“Kuanzisha soko la madini katika mkoa wetu inakuwa ni...