Sakata utoroshaji madini laendelea
Sakata la kukamatwa kwa raia wa India, Jain Anarungi kwa tuhuma za kutorosha madini ya Tanzanite yenye thamani ya Sh2.5 bilioni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA), limechukua sura mpya baada ya kampuni maarufu mjini hapa kutajwa kuyauza madini hayo kuanza kuchunguzwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Idara kudhibiti utoroshaji madini
10 years ago
Habarileo30 Aug
Watakiwa kudhibiti utoroshaji wa madini
WATAALAMU wanaosimamia sekta ya madini nchini wametakiwa kuongeza uwajibikaji ili kudhibiti utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi ambao umekuwa ukiikosesha serikali mapato.
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Utoroshaji madini ghafi washika kasi
WAKATI serikali imepiga marufuku usafirishaji wa madini ya tanzanite nje ya nchi yakiwa ghafi, bado kumekuwepo na wimbi la usafirishaji wa madini hayo kwa kutumia njia za panya kwenye mikoa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1SeEsbZpMHc/VGvHa-5SKQI/AAAAAAAGyIc/T7wUPb340v4/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi
10 years ago
Mwananchi19 Feb
TMAA yagundua njia 400 utoroshaji madini
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/mCBbLNpePMI/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
10 years ago
Mwananchi21 Nov
Interpol kudhibiti utoroshaji Tanzanite