TMAA yagundua njia 400 utoroshaji madini
Wakala wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA) umetangaza dau nono kwa yeyote atakayewezesha kukamatwa kwa mfanyabiashara yeyote anayesafirisha madini kwa njia za magendo kupitia njia za panya zaidi ya 400 zilizopo nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s72-c/unnamed.jpg)
TMAA yapiga mnada madini yaliyokamatwa yakitoroshwa nje ya nchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Madini na Ujenzi: TMAA yaamka sasa, yakusanya mabilioni ya kodi
10 years ago
Habarileo30 Aug
Watakiwa kudhibiti utoroshaji wa madini
WATAALAMU wanaosimamia sekta ya madini nchini wametakiwa kuongeza uwajibikaji ili kudhibiti utoroshaji wa madini kwenda nje ya nchi ambao umekuwa ukiikosesha serikali mapato.
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Sakata utoroshaji madini laendelea
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Idara kudhibiti utoroshaji madini
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Utoroshaji madini ghafi washika kasi
WAKATI serikali imepiga marufuku usafirishaji wa madini ya tanzanite nje ya nchi yakiwa ghafi, bado kumekuwepo na wimbi la usafirishaji wa madini hayo kwa kutumia njia za panya kwenye mikoa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1SeEsbZpMHc/VGvHa-5SKQI/AAAAAAAGyIc/T7wUPb340v4/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Serikali kudhibiti utoroshaji wa madini nje ya nchi
10 years ago
Habarileo29 Sep
Muhongo: Ujenzi njia ya umeme kilovoti 400 kukamilika 2016
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema ujenzi wa miundombinu ya usafirishaji umeme wa msongo mkubwa, kilovoti 400 itakamilika pasipo shaka ifikapo June 2016.