Madini na Ujenzi: TMAA yaamka sasa, yakusanya mabilioni ya kodi
>Kampuni zinazomiliki migodi mikubwa na ya kati nchini zimeendelea kulipa stahiki mbalimbali za Serikali, ikiwa ni pamoja na kodi ya mapato.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
TMAA yaokoa bilioni 15/- vita ya utoroshaji madini
WAKALA wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA) umefanikiwa kudhibiti utoroshaji wa madini yenye thamani takribani Sh bilioni 15.72 katika viwanja vitatu vya ndege hapa nchini tangu mwezi Julai 2012 hadi Machi 2014 na imeahidi kuongeza kasi ya udhibiti.
10 years ago
Mwananchi19 Feb
TMAA yagundua njia 400 utoroshaji madini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s72-c/unnamed.jpg)
TMAA yapiga mnada madini yaliyokamatwa yakitoroshwa nje ya nchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-CCTqxZ5ezhc/VG4fg9S4opI/AAAAAAAGyeo/LiFB9PBin-8/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i6WktlU3_Js/UzjlSE0JUKI/AAAAAAABDi4/WOU-mw8Bf-I/s72-c/3.jpg)
BIG RESULTS NOW' YAKUSANYA MABILIONI KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-i6WktlU3_Js/UzjlSE0JUKI/AAAAAAABDi4/WOU-mw8Bf-I/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WZsVEtkgtvk/UzjlTaICT7I/AAAAAAABDjA/NV_MOcjzvUQ/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w7c7CZMySrw/UzjlUfUSkWI/AAAAAAABDjI/2pOuQ9TYIfM/s1600/6.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Kibaha yakusanya mil. 122/- kodi ya majengo
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha, Pwani imesema hadi Juni 30, 2014 imekusanya sh milioni 122 kodi ya majengo ambayo ni sawa na asilimia 77 kati ya sh milioni 158.4 iliyotarajiwa....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-R_vGc-QsXzs/VSfYsyMbBrI/AAAAAAAHQIA/-wV8LBPhP90/s72-c/unnamedM.jpg)
TRA YAKUSANYA ZAIDI YA SH.BILIONI 258 KWA FAINI NA KODI ZA BIDHAA ZA MAGENDO
MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA), kwa kipindi cha miezi miwili iliyopita imekusanya zaidi ya Sh. Bilioni 258 zilizotokana na faini ya bidhaa mbalimbali za magendo.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi wa TRA, Richard Kayombo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es salaam,amesema TRA inaungana na jeshi la Polisi katika kukamata watu wanaojihusisha na usafirishaji na uuzaji wa ...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Mabilioni ya kodi Bodi ya TRAB yakwamishwa
11 years ago
MichuziWAKALA WA UKAGUZI WA MADINI WAPONGEZWA KWA KUOKOA MABILIONI