Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKALA WA UKAGUZI WA MADINI WAPONGEZWA KWA KUOKOA MABILIONI

 Afisa Habari wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini nchini (TMAA), Mhandisi Yesambi Shiwa (Kulia) akitoa maelezo juu ya utendaji kazi wa TMAA kwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Bw. Hab Mkwizu (Kushoto) wakati alipotembelea kwenye Banda la TMAA wakati wa Maadhimisho ya Utumishi wa Umma katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.  Mashine ya kisasa ya kupimia ubora wa sampuli za madini ikioneshwa kwenye Banda la TMAA wakati wa Maadhimisho ya Utumishi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali kuokoa mabilioni sekta ya maji’

WAZIRI wa Maji Prof. Jumanne Maghembe, amesema serikali itaokoa mabilioni ya fedha iliyokuwa ikitumia kuagiza mabomba ya kuweka miundombinu ya maji kutoka nje, kwa vile hivi sasa yanapatikana hapa nchini....

 

11 years ago

Mwananchi

Madini na Ujenzi: TMAA yaamka sasa, yakusanya mabilioni ya kodi

>Kampuni zinazomiliki migodi mikubwa na ya kati nchini zimeendelea kulipa stahiki mbalimbali za Serikali, ikiwa ni pamoja na kodi ya mapato.

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)

Wizara ya Nishati na Madini inaendelea na mpango wake wa Mafunzo kwa Wachimbaji Madini Nchini kuhusu matumizi ya Mfumo wa Huduma za Leseni kwa njia ya Mtandao yaani Online Mining Cadastre Transactional Portal (OMCTP). Pamoja na malengo mengine, Mfumo huo umeanzishwa ili kutekeleza agizo la Serikali la kutaka Wizara na taasisi za Serikali ziwe zinapokea malipo ya Serikali kwa njia za kielektroniki. Mafunzo hayo yanatarajiwa kutolewa kwa wachimbaji wadogo nchi nzima ili kuwajengea uwezo.

 

10 years ago

Michuzi

Kamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.

Na Teresia Mhagama Kamishna wa madini nchini, Mhandisi Paul Masanja amefungua rasmi mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake 15 wa kitanzania waliopata ufadhili wa masomo hayo ambayo ni matunda ya harambee iliyoanzishwa na Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya Kimataifa ya Vito ya Arusha mwaka 2012. Mafunzo hayo ya ukataji madini yatakayowawezesha wanafunzi husika kukata madini na kuyachonga katika maumbile ya kuvutia yatakuwa yakitolewa kwa muda wa miezi Sita katika Kituo cha...

 

10 years ago

Habarileo

Amina, Migiro wapongezwa kwa kuthubutu

Asha Rose Migiro.MTANDAO wa Wanawake na Katiba na Uchaguzi (T-WCP/ Ulingo), umepongeza wanawake wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliothubutu kuomba uteuzi wa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kufikia ngazi ya uteuzi wa mwisho.

 

10 years ago

Habarileo

Wananchi Kahama wapongezwa kwa miradi ya maendeleo

KIONGOZI wa mbio za Mwenge, Rachel Kassanda amewapongeza wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Kahama kwa kuibua miradi mbalimbali ya maendeleo yenye lengo la kupiga vita umasikini.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wanadiaspora wapongezwa kwa kusaidia gurudumu la elimu Zanzibar

Afisa Wa Elimu Zanzibar Bw Suleiman 
Yahya Ame kulia, akionesha makala ya kitabu. Na Abou Shatry Washington DC   Jumuiya ya Wazanzibari waishio Nchini Marekani (ZADIA), imepongezwa kwa kusaidia gurudumu la maendeleo ya Elimu visiwani Zanzibar.   Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Zanzibar Bw. Suleiman Yahya Ame wakati wa kupokea mchango wa vitabu vya Ufundi na Mafunzo ya Amali uliotolewa na ZADIA kwa ajili ya shule za ufundi visiwani humo.   Akizungumza kama mgeni rasmi...

 

11 years ago

Dewji Blog

SEMA Singida wapongezwa kwa kuelimisha tabia nchi

DSC09389

Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi,akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa vifaa vya kuongeza uwajibikaji katika kuhimili mabadiliko ya tabia nchi wilayani humo.Kulia ni meneja wa shirika la SEMA, Ivo Manyaku.Kushoto ni mwenyekiti wa kijiji cha Kinyagigi.

Na Nathaniel Limu, Singida

SERIKALI  wilaya ya Singida, imelipongeza shirika lisilo la kiserikali la mpango endelevu wa uboreshaji mazingira (SEMA), kwa hatua yake ya kuanza kuelimisha wakulima mbinu bora za kupambana na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula

kone pics

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.

Na Nathaniel Limu, Singida

MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.

Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani