Kamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.
![](http://3.bp.blogspot.com/-d7v1cce0SPg/VHVi5vJB2sI/AAAAAAAGzdY/76ipg3Cvvs0/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Na Teresia Mhagama Kamishna wa madini nchini, Mhandisi Paul Masanja amefungua rasmi mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake 15 wa kitanzania waliopata ufadhili wa masomo hayo ambayo ni matunda ya harambee iliyoanzishwa na Kamati ya Maandalizi ya Maonesho ya Kimataifa ya Vito ya Arusha mwaka 2012. Mafunzo hayo ya ukataji madini yatakayowawezesha wanafunzi husika kukata madini na kuyachonga katika maumbile ya kuvutia yatakuwa yakitolewa kwa muda wa miezi Sita katika Kituo cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M60-PAU0y38/VRlFXARLgeI/AAAAAAAHOY0/cPcPuGrcETI/s72-c/2.jpg)
Kituo cha Jimolojia kuwezesha uongezaji thamani madini nchini
![](http://1.bp.blogspot.com/-M60-PAU0y38/VRlFXARLgeI/AAAAAAAHOY0/cPcPuGrcETI/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XIImyza1IDI/VRlFXMwIJqI/AAAAAAAHOYs/z2fiqzsSPtM/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNW8PRnTNoQ/VRlFYv3JsdI/AAAAAAAHOY8/H1xD45PxaGA/s1600/4.jpg)
11 years ago
MichuziMKUTANO WA WADAU WA UONGEZAJI THAMANI MADINI WAFANYIKA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
MAFUNZO KWA WACHIMBAJI WA MADINI KUHUSU MATUMIZI YA HUDUMA ZA LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO — KANDA YA ZIWA NYASA- SONGEA (7/8/2015) NA TUNDURU (9/8/2015)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_abOajkhPjQ/VcfT2RA3IJI/AAAAAAAHvj0/AcubMiexSRk/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi30 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HEN55I5DKDM/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
JK ateua Kamishna wa Madini
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Mhandisi Paul Mhangilwa Masanja kuwa Kamishna wa Madini nchini. Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue jijini Dar es Salaam jana, ilieleza uteuzi huo...
9 years ago
StarTV23 Nov
Marema wapinga kauli ya kamishna wa madini nchini
Siku chache baada ya naibu kamishna wa madini nchini kutoa tamko kuhusu utaratibu wa uchimbaji wa madini ya Tanzanite katika eneo la Mirerani mkoani Manyara, chama cha wachimbaji wadogo wa madini hayo kimepinga vikali tamko hilo kwa madai kwamba litaibua upya mgogoro katika eneo hilo.
Novemba 13 mwaka huu akiwa Jijini Arusha, kituo hiki kilimkariri naibu kamishna wa madini nchini mhandisi Ally Samaje akiwataka wachimbaji wote kuendesha uchimbaji wao kwa kufuata sheria.
Naibu huyo kamishana...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_1128.jpg?width=640)
TCME WASHIRIKIANA NA VETA KATIKA KUTOA MAFUNZO YA UCHIMBAJI MADINI KWA WAZAWA
10 years ago
Michuzi15 Sep
BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10