Marema wapinga kauli ya kamishna wa madini nchini
Siku chache baada ya naibu kamishna wa madini nchini kutoa tamko kuhusu utaratibu wa uchimbaji wa madini ya Tanzanite katika eneo la Mirerani mkoani Manyara, chama cha wachimbaji wadogo wa madini hayo kimepinga vikali tamko hilo kwa madai kwamba litaibua upya mgogoro katika eneo hilo.
Novemba 13 mwaka huu akiwa Jijini Arusha, kituo hiki kilimkariri naibu kamishna wa madini nchini mhandisi Ally Samaje akiwataka wachimbaji wote kuendesha uchimbaji wao kwa kufuata sheria.
Naibu huyo kamishana...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Jun
KAMISHNA WA MADINI AZITAKA TAASISI ZA MAZINGIRA NCHINI KUONGEZA USHIRIKIANO KWENYE MIGODI
Wito huo umetolewa na Kamishna Msaidizi wa Madini – Ukaguzi wa Migodi Mhandisi Ally Samaje katika mahojiano maalum kwenye mafunzo yanayohusisha Makamishna Wasaidizi wa Madini, Wakaazi kutoka Wizara ya Nishati na Madini Tanzania na wataalam kutoka India yanayoendelea...
10 years ago
MichuziKamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.
10 years ago
Michuzi30 Mar
11 years ago
MichuziKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AHUDHURIA SHEREHE ZA KUKABIDHIWA MADARAKA YA UONGOZI KWA KAMISHNA JENERALI MPYA WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Wasomi, wanasiasa wapinga kauli ya JK
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Bavicha wapinga kauli za kuvunja Bunge
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
JK ateua Kamishna wa Madini
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Mhandisi Paul Mhangilwa Masanja kuwa Kamishna wa Madini nchini. Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue jijini Dar es Salaam jana, ilieleza uteuzi huo...
10 years ago
MichuziMH. KITWANGA AKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SEKTA YA MADINI NCHINI