KAMISHNA WA MADINI AZITAKA TAASISI ZA MAZINGIRA NCHINI KUONGEZA USHIRIKIANO KWENYE MIGODI
Na Greyson Mwase, BagamoyoTaasisi zinazohusika na usimamizi wa sheria na kanuni za mazingira zimetakiwa kushirikiana kwa karibu zaidi ili kuongeza ufanisi katika usimamizi wa mazingira migodini na kuepuka mwingiliano wa majukumu.
Wito huo umetolewa na Kamishna Msaidizi wa Madini – Ukaguzi wa Migodi Mhandisi Ally Samaje katika mahojiano maalum kwenye mafunzo yanayohusisha Makamishna Wasaidizi wa Madini, Wakaazi kutoka Wizara ya Nishati na Madini Tanzania na wataalam kutoka India yanayoendelea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMH. KITWANGA AKUTANA NA WATENDAJI WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI NA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SEKTA YA MADINI NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yVttFYyWq_0/VXAGYDh2P8I/AAAAAAAHb38/QDXzxiDpJCI/s72-c/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
Taasisi kutoka India yawapiga msasa wakaguzi wa migodi nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-yVttFYyWq_0/VXAGYDh2P8I/AAAAAAAHb38/QDXzxiDpJCI/s640/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGVfdGsogd0/VXAGYXSpdWI/AAAAAAAHb34/zGqNE4PE6fM/s640/unnamed%2B%252875%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nK7UMqu-jfg/VEoY9-6G3II/AAAAAAAGtGg/BfpXV5B6gFg/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Mh. Ummy Mwalimu azitaka Halmashauri zote nchini kutoa elimu kwa wananchi juu ya utunzaji wa mazingira
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mheshimiwa Ummy Mwalimu wakati alipofanya ziara ya kutembelea masoko ya manispaa za Temeke na Ilala za jijini Dar es Salaam.
Amekumbushia pia kila Manispaa kuzingatia agizo la Makamu wa Rais la kufanya usafi kila jumamosi ya mwanzo wa mwezi...
9 years ago
StarTV23 Nov
Marema wapinga kauli ya kamishna wa madini nchini
Siku chache baada ya naibu kamishna wa madini nchini kutoa tamko kuhusu utaratibu wa uchimbaji wa madini ya Tanzanite katika eneo la Mirerani mkoani Manyara, chama cha wachimbaji wadogo wa madini hayo kimepinga vikali tamko hilo kwa madai kwamba litaibua upya mgogoro katika eneo hilo.
Novemba 13 mwaka huu akiwa Jijini Arusha, kituo hiki kilimkariri naibu kamishna wa madini nchini mhandisi Ally Samaje akiwataka wachimbaji wote kuendesha uchimbaji wao kwa kufuata sheria.
Naibu huyo kamishana...
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA KIKAO CHA DHARURA CHA HALI YA MAZINGIRA KATIKA MIGODI YOTE NCHINI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d7v1cce0SPg/VHVi5vJB2sI/AAAAAAAGzdY/76ipg3Cvvs0/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Kamishna wa Madini afungua mafunzo ya uongezaji thamani madini kwa wanawake.
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Dk Nagu azitaka taasisi za fedha kuacha ukiritimba
10 years ago
Michuzi30 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s72-c/unnamed+(10).jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI AHUDHURIA SHEREHE ZA KUKABIDHIWA MADARAKA YA UONGOZI KWA KAMISHNA JENERALI MPYA WA MAGEREZA NCHINI NAMIBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CNrdSSxCSno/Uu4bYDGmaWI/AAAAAAAFKQk/_Z9Fg4VKS_w/s1600/unnamed+(10).jpg)