Wanadiaspora wapongezwa kwa kusaidia gurudumu la elimu Zanzibar
Afisa Wa Elimu Zanzibar Bw Suleiman
Yahya Ame kulia, akionesha makala ya kitabu.
Na Abou Shatry Washington DC
Jumuiya ya Wazanzibari waishio Nchini Marekani (ZADIA), imepongezwa kwa kusaidia gurudumu la maendeleo ya Elimu visiwani Zanzibar.
Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Zanzibar Bw. Suleiman Yahya Ame wakati wa kupokea mchango wa vitabu vya Ufundi na Mafunzo ya Amali uliotolewa na ZADIA kwa ajili ya shule za ufundi visiwani humo.
Akizungumza kama mgeni rasmi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eCFTtYgiwCE/Xm29abyyaiI/AAAAAAALjsQ/qMB9fRIyiz0EBTWHCttQfTpPRw4iUMfmQCLcBGAsYHQ/s72-c/44a4ada5-ff85-4eb5-82a1-e10105da1f98.jpg)
MKOA WA GEITA WAPONGEZWA KWA KUWA WABUNIFU KWENYE MIUNDOMBINU YA ELIMU
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli amefurahishwa na ubunifu wa kutumia tofali mfungamano (Interlock) kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa katika kukabiliana na mrundikano wa wanafunzi katika shule za Mkoa wa Geita.
Mweli ameonyesha furaha yake wakati wa ziara ya kikazi Mkoani humo iliyokua na lengo la kukagua miundombinu ya Elimu iliyojengwa na inayoendelea kujengwa pamoja na kupokea changamoto za walimu na kuzitolea ufafanuzi.
Akiwa Mkoani Geita Mweli...
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wazazi wapongezwa muamko wa elimu
WAZAZI mkoani hapa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwasomesha watoto wao katika shule zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi bila kujali hali duni za familia zao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-dzQg45BIEYc/VVnlGoazqeI/AAAAAAADnl0/Upn4sXg0aQ8/s72-c/unnamed.jpg)
KITUO CHA HUDUMA ZA SHERIA ZANZIBAR (ZLSC) WATOA ELIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WANANCHI ZANZIBAR.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dzQg45BIEYc/VVnlGoazqeI/AAAAAAADnl0/Upn4sXg0aQ8/s640/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y_X_hMwIXIs/VVnkywDaS0I/AAAAAAADnlU/6oEYq3pzs7Y/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-G1YcW7fKNKg/VVnk5gN8cAI/AAAAAAADnlc/LJ5sHj7BTsc/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--tfneBVi_b0/VVnk95eKxYI/AAAAAAADnlk/xgYztjPXXuE/s640/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDIQt9VMM6I/VVnlCH1Z39I/AAAAAAADnls/1YtXnjAfndI/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_ovq2s9L66w/U53ZPakpUBI/AAAAAAAFqyA/I7VKNU9yZ6A/s72-c/unnamed+(34).jpg)
MRADI WA PROSPER KURUDISHA SHULENI WATOTO WALIOKOSA ELIMU SIKONGE WAPONGEZWA
9 years ago
Habarileo21 Dec
Zanzibar wapongezwa uvumilivu wa kisiasa
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimewapongeza na kuwashukuru wananchi wa Zanzibar kwa subira na uvumilivu wa kiwango cha juu waliouonesha wakati wakisubiri kujua hatima ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar ambao matokeo yake ya Oktoba 25, mwaka huu yalifutwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s72-c/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
WAFANYAKAZI 21 WA KAMPUNI YA KUCHIMBA DHAHABU YA ACACIA WAPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUSAIDIA SEKTA YA ELIMU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-tU8BVDQQruc/VYjlPWYVrtI/AAAAAAAARaI/VyUTibHHkAE/s640/IMG_2177%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2lCKfAIwYj0/VYjlSvLgF0I/AAAAAAAARaQ/nogF8I7UKlc/s640/IMG_2182%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yb7xg6iZgrw/VYjlVL7-cwI/AAAAAAAARag/tj6IN7g_v34/s640/IMG_2184%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CdOZt5LH4iY/VYjlYU5sZnI/AAAAAAAARas/Lm4coaebRFw/s640/IMG_2187%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BHR0Y4N4KV8/VYjlH4afiEI/AAAAAAAARZo/w8FySszIGPw/s640/IMG_2131%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6fEyV_-4Bz0/VYjlHDbiY0I/AAAAAAAARZg/bdHy2ZuldBY/s640/IMG_2132%2B%25281280x853%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Vijimambo30 Sep
MTANZANIA NI MOJA KATI YA ABIRIA WALIOKUWEMO KWENYE NDEGE YA AMERICAN ILIYOTUA KWA DHARURA BAADA YA GURUDUMU LA MBELE KUPATA PANCHA
Ndege ya shirika la ndege la American iliyokua ikisafiri kutoka Houston Texas kuelekea Baltimore siku ya Jumatatu Sept 29, 2014 mida ya jioni na iliyokua imebeba abiria 140 akiwemo Mtanzania Baraka Daudi ilibidi itue kwa dharura kwenye uwanja huo wa Houston baada ya rubani wa ndege hiyo kugundua gurudumu la mbele (norse gear) kutokua na upepo. Baada ya rubani kudua hitilafu hiyo aliwasiliana na mnara wa kuongozea ndege wa uwanja huo wa Houston wajaribu kuingalia ndege hiyo kwa ukaribu zaidi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s72-c/pho.jpg)
SERIKALI YA ZANZIBAR YAENDELEA KUTOA ELIMU BURE KWA WATOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-68HsBfSrG1Q/VX6TTvdMdWI/AAAAAAAHffc/YoiS6WSTceY/s1600/pho.jpg)
LICHA ya kupanda kwa gharama za uendeshaji wa sekta ya elimu hapa Zanzibar na duniani kote, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa bure kwa watoto wa Zanzibar kama ilivyotangazwa na Marehemu Mzee Abeid...