Zanzibar wapongezwa uvumilivu wa kisiasa
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimewapongeza na kuwashukuru wananchi wa Zanzibar kwa subira na uvumilivu wa kiwango cha juu waliouonesha wakati wakisubiri kujua hatima ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar ambao matokeo yake ya Oktoba 25, mwaka huu yalifutwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
‘Wajumbe hawana uvumilivu wa kisiasa’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Bernadeta Kiliani, amesema kitendo kinachoendelea ndani ya bunge hilo kwa baadhi ya wajumbe kuzomeana na kutosikilizana ni ukosefu wa uvumilivu wa kisiasa. Alisema ni...
10 years ago
Mwananchi27 Aug
Uvumilivu wa kisiasa ndiyo tiba ya migogoro
11 years ago
Habarileo19 Jan
Kanisa lapongeza uvumilivu Zanzibar
KANISA Katoliki leo linaadhimisha miaka 150 ya Imani Endelevu Katoliki Jimbo la Zanzibar huku likisifu uvumilivu wa kiimani uliokuwapo karne kadhaa na kulaani watu wachache wanaotumiwa kuharibu amani visiwani. Viongozi wa kanisa hilo wamesema matukio ya mwishoni mwa mwaka juzi na mapema mwaka jana ya baadhi ya viongozi wa Kanisa kuuawa kwa kupigwa risasi, kujeruhiwa na wengine akiwamo Shehe kumwagiwa tindikali, yalikusudiwa kuvuruga udugu uliodumu kwa amani karne na karne.
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Wanadiaspora wapongezwa kwa kusaidia gurudumu la elimu Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-YH3kiVZRUhY/Vd26s5x8YRI/AAAAAAAAT34/BUWUW7Km894/s1600/HAJI.jpg)
Yahya Ame kulia, akionesha makala ya kitabu. Na Abou Shatry Washington DC Jumuiya ya Wazanzibari waishio Nchini Marekani (ZADIA), imepongezwa kwa kusaidia gurudumu la maendeleo ya Elimu visiwani Zanzibar. Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Zanzibar Bw. Suleiman Yahya Ame wakati wa kupokea mchango wa vitabu vya Ufundi na Mafunzo ya Amali uliotolewa na ZADIA kwa ajili ya shule za ufundi visiwani humo. Akizungumza kama mgeni rasmi...
10 years ago
Tanzania Daima23 Nov
Salmin na deko la kisiasa Zanzibar
INASHANGAZA kwamba mpaka sasa bado kuna watu wanaoendekeza deko la kisiasa katika bara la Afrika wakati huu wa karne ya kistaarabu! Deko linalotokana na mtu kuzitegemea nguvu za dola alizozishikilia na...
9 years ago
Mwananchi03 Oct
Zanzibar: Volkano ya kisiasa iliyolala
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n2LSIpTJcaY/VjZxJwz5eSI/AAAAAAAID34/0mJNL9KvDAY/s72-c/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
MAALIM SEIF NA MKWAMO WA KISIASA ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-n2LSIpTJcaY/VjZxJwz5eSI/AAAAAAAID34/0mJNL9KvDAY/s640/unnamed%2B%25285%2529.jpg)
Na Hassan Hamad (OMKR)Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema jitihada za kuutafutia ufumbuzi mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na tamko la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bw. Jecha Salim Jecha baada ya kutangaza kufuta uchaguzi...
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar, hatima ya mkwamo wa kisiasa
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar, hatma ya mkwamo wa kisiasa