Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar: Volkano ya kisiasa iliyolala

Kila unapofika mwaka wa uchaguzi, matumbo ya Wazanzibari hupata joto kali la kisiasa na kila mmoja huingia katika hamkani, ushabiki na shemere za uchaguzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Salmin na deko la kisiasa Zanzibar

INASHANGAZA  kwamba mpaka sasa bado kuna watu wanaoendekeza deko la kisiasa katika bara la Afrika wakati huu wa karne ya kistaarabu! Deko linalotokana na mtu kuzitegemea nguvu za dola alizozishikilia na...

 

9 years ago

Habarileo

Zanzibar wapongezwa uvumilivu wa kisiasa

 CHAMA cha ACT-Wazalendo kimewapongeza na kuwashukuru wananchi wa Zanzibar kwa subira na uvumilivu wa kiwango cha juu waliouonesha wakati wakisubiri kujua hatima ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar ambao matokeo yake ya Oktoba 25, mwaka huu yalifutwa.

 

10 years ago

Michuzi

MAALIM SEIF NA MKWAMO WA KISIASA ZANZIBAR

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na waandishin wa Habari katika ofisi za CUF Mtendeni kuhusiana na maendeleo ya “mkwamo” wa kisiasa Zanzibar. Picha na Salmin Said, OMKR
Na Hassan Hamad (OMKR)Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amesema jitihada za kuutafutia ufumbuzi mkwamo wa kisiasa Zanzibar uliotokana na tamko la Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Bw. Jecha Salim Jecha baada ya kutangaza kufuta uchaguzi...

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar, hatma ya mkwamo wa kisiasa

Zanzibar iliyogubikwa na mtafaruku wa kisiasa kufuatia kufutwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, mwaka huu inaadhimisha miaka 52 tangu kufanyika mapinduzi, Januari 12, 1964.

 

9 years ago

Mwananchi

Miaka 52 ya Mapinduzi Zanzibar, hatima ya mkwamo wa kisiasa

Juma lililopita makala haya yaliishia ‘Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume kuuawa. Mwalimu Nyerere alimweka kizuizini mmoja wa watu waliotuhumiwa kupanga Mapinduzi, Abdulrahman Babu’. Endelea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jivu la Volkano lawaua watu 30 Japan

Takriban wakwea milima 30 huenda wameaga dunia nchini Japan kufuatia kulipuka kwa mlima wa Volcano siku ya Jumamosi.

 

10 years ago

Michuzi

Rais wa Zanzibar afungua warsha ya Mahusiano ya Kisiasa na Kiutawala

Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amefungua warsha ya siku tatu kwa viongozi wa juu wa Mikoa na Wilaya kutoka Zanzibar pamoja na mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara iliyofanyika Hotel ya sea Cliff Zanzibar. Mkutano huo ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI umeanza tarehe 10 Novemba, 2014. Lengo la warsha hii ni kutoa fursa kwa washiriki kubadilishana uzoefu na kujifunza mbinu mpya ili kuongeza ufanisi katika utendaji. Haya yalisemwa na Profesa Joseph Semboja, Mtendaji Mkuu wa UONGOZI...

 

9 years ago

Mwananchi

Ni aibu kusherehekea miaka 52 ya mapinduzi ya zanzibar na mpasuko wa kisiasa

Zanzibar imo katika Sherehe za Mapinduzi na Januari 12 itatimiza miaka 52 tangu kufanyika kwa mapinduzi hayo yaliyoiondoa madarakani Serikali ya Zanzibar iliyokaa madarakani kwa siku chache. Mapinduzi yalifanyika Januari 12,1964.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani