Rais wa Zanzibar afungua warsha ya Mahusiano ya Kisiasa na Kiutawala
Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amefungua warsha ya siku tatu kwa viongozi wa juu wa Mikoa na Wilaya kutoka Zanzibar pamoja na mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara iliyofanyika Hotel ya sea Cliff Zanzibar. Mkutano huo ulioandaliwa na Taasisi ya UONGOZI umeanza tarehe 10 Novemba, 2014. Lengo la warsha hii ni kutoa fursa kwa washiriki kubadilishana uzoefu na kujifunza mbinu mpya ili kuongeza ufanisi katika utendaji. Haya yalisemwa na Profesa Joseph Semboja, Mtendaji Mkuu wa UONGOZI...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Vijimambo22 Oct
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA RASMI WARSHA KUHUSU AMANI NA USALAMA BARANI AFRIKA
5 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DKT.SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA JUKWAA LA KUMI LA BIASHARA ZANZIBAR
11 years ago
MichuziWARSHA YA TASAF ILIVYOZINDULIWA LEO NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS,MH.MOHAMMED ABOUD,ZANZIBAR
10 years ago
MichuziBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN, WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANIUSALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboBALOZI SEIF AFUNGUA MKUTANO KWA NIABA YA RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN WA KUIMARISHA MASUALA YA USHIRIKIANO KATIKA AMANI, USALAMA NA MAENDELEO KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI UNAOFANYIKA ZANZIBAR
11 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AFUNGUA HOSPITALI YA KMKM KIBWENI, ZANZIBAR
10 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR AFUNGUA MAONESHO YA MUZIKI NCHINI UJERUMANI.
10 years ago
Vijimambo21 Apr
RAIS WA ZANZIBAR, DK SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA WADAU WA ZSSF

