Wazazi wapongezwa muamko wa elimu
WAZAZI mkoani hapa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwasomesha watoto wao katika shule zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi bila kujali hali duni za familia zao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Wazazi wapongezwa kuruhusu skauti
MKURUGENZI wa kampuni ya Tugeme Enterprises ya mjini Tukuyu wilayani Rungwe, Mbeya, Tumaini Mwaijande, amewapongeza wazazi nchini kwa uamuzi wa kuwaruhusu watoto wao kujiunga na Skauti licha ya kuwa wanafunzi....
10 years ago
Dewji Blog26 Aug
Wanadiaspora wapongezwa kwa kusaidia gurudumu la elimu Zanzibar

Yahya Ame kulia, akionesha makala ya kitabu. Na Abou Shatry Washington DC Jumuiya ya Wazanzibari waishio Nchini Marekani (ZADIA), imepongezwa kwa kusaidia gurudumu la maendeleo ya Elimu visiwani Zanzibar. Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Zanzibar Bw. Suleiman Yahya Ame wakati wa kupokea mchango wa vitabu vya Ufundi na Mafunzo ya Amali uliotolewa na ZADIA kwa ajili ya shule za ufundi visiwani humo. Akizungumza kama mgeni rasmi...
11 years ago
Michuzi.jpg)
MRADI WA PROSPER KURUDISHA SHULENI WATOTO WALIOKOSA ELIMU SIKONGE WAPONGEZWA
5 years ago
Michuzi
MKOA WA GEITA WAPONGEZWA KWA KUWA WABUNIFU KWENYE MIUNDOMBINU YA ELIMU
NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli amefurahishwa na ubunifu wa kutumia tofali mfungamano (Interlock) kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa katika kukabiliana na mrundikano wa wanafunzi katika shule za Mkoa wa Geita.
Mweli ameonyesha furaha yake wakati wa ziara ya kikazi Mkoani humo iliyokua na lengo la kukagua miundombinu ya Elimu iliyojengwa na inayoendelea kujengwa pamoja na kupokea changamoto za walimu na kuzitolea ufafanuzi.
Akiwa Mkoani Geita Mweli...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mfumo wa elimu wakwaza wazazi
UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...
11 years ago
Mwananchi26 Aug
‘Wazazi wekezeni katika elimu’
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Wazazi matineja wahitimu elimu mbadala
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kulia) akipokea kitabu cha wageni kutoka kwa Mratibu wa kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Bi. Victoria Maige alipofikia katika ofisi hizo kwa ajili ya zoezi la kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
WAZAZI wenye...
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Tafiti za elimu zitumike kuwazindua wazazi
11 years ago
Habarileo31 Dec
Maalim Seif: Wazazi changieni elimu
WAZAZI visiwani hapa wametakiwa kubadilika na kuachana na dhana, kwamba Serikali ndiyo yenye jukumu la kusomesha wanafunzi wote.