Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi wapongezwa muamko wa elimu

WAZAZI mkoani hapa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwasomesha watoto wao katika shule zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi bila kujali hali duni za familia zao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wazazi wapongezwa kuruhusu skauti

MKURUGENZI wa kampuni ya Tugeme Enterprises ya mjini Tukuyu wilayani Rungwe, Mbeya, Tumaini Mwaijande, amewapongeza wazazi nchini kwa uamuzi wa kuwaruhusu watoto wao kujiunga na Skauti licha ya kuwa wanafunzi....

 

10 years ago

Dewji Blog

Wanadiaspora wapongezwa kwa kusaidia gurudumu la elimu Zanzibar

Afisa Wa Elimu Zanzibar Bw Suleiman 
Yahya Ame kulia, akionesha makala ya kitabu. Na Abou Shatry Washington DC   Jumuiya ya Wazanzibari waishio Nchini Marekani (ZADIA), imepongezwa kwa kusaidia gurudumu la maendeleo ya Elimu visiwani Zanzibar.   Pongezi hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Elimu ya Juu Zanzibar Bw. Suleiman Yahya Ame wakati wa kupokea mchango wa vitabu vya Ufundi na Mafunzo ya Amali uliotolewa na ZADIA kwa ajili ya shule za ufundi visiwani humo.   Akizungumza kama mgeni rasmi...

 

11 years ago

Michuzi

MRADI WA PROSPER KURUDISHA SHULENI WATOTO WALIOKOSA ELIMU SIKONGE WAPONGEZWA

Na Allan Ntana, Sikonge   MWENYEKITI wa halmashauri ya wilaya ya Sikonge mkoani Tabora Robert Kamoga amepongeza jitihada zinazofanywa na mradi wa PROSPER katika kutokomeza utumikishwaji watoto katika shughuli za kilimo huku akisifu utaratibu wa kurudishwa shule watoto wote waliokosa nafasi hiyo.   Kamoga ametoa pongezi hizo alipokuwa akizungumza na mamia ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya siku ya kupinga utumikishwaji watoto iliyofanyika kimkoa katika kijiji cha Udongo kata ya...

 

5 years ago

Michuzi

MKOA WA GEITA WAPONGEZWA KWA KUWA WABUNIFU KWENYE MIUNDOMBINU YA ELIMU


NAIBU Katibu Mkuu anayeshughulika Elimu Ofisi ya Rais TAMISEMI Gerald Mweli amefurahishwa na ubunifu wa kutumia tofali mfungamano (Interlock) kwenye ujenzi wa vyumba vya madarasa katika kukabiliana na mrundikano wa wanafunzi katika shule za Mkoa wa Geita.

Mweli ameonyesha furaha yake wakati wa ziara ya kikazi Mkoani humo iliyokua na lengo la kukagua miundombinu ya Elimu iliyojengwa na inayoendelea kujengwa pamoja na  kupokea changamoto za walimu na kuzitolea ufafanuzi.

Akiwa Mkoani Geita Mweli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa elimu wakwaza wazazi

UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wazazi wekezeni katika elimu’

Wazazi na walezi wametakiwa kuwekeza katika elimu ya watoto kwa kuwa kufanya hivyo ndiyo bima pekee bora kwa maisha yao ya baadaye na Taifa kwa jumla.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wazazi matineja wahitimu elimu mbadala

IMG_1858

Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kulia) akipokea kitabu cha wageni kutoka kwa Mratibu wa kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Bi. Victoria Maige alipofikia katika ofisi hizo kwa ajili ya zoezi la kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga

WAZAZI wenye...

 

9 years ago

Mwananchi

Tafiti za elimu zitumike kuwazindua wazazi

Mwaka 2010, asasi isiyo ya kiserikali ya Twaweza kupitia mpango wake wa Uwezo, ilitoa ripoti iliyoonyesha namna wazazi wengi mkoani Dar es Salaam wasivyo na uelewa wa mambo mengi kuhusu elimu ya watoto wao shuleni.

 

11 years ago

Habarileo

Maalim Seif: Wazazi changieni elimu

WAZAZI visiwani hapa wametakiwa kubadilika na kuachana na dhana, kwamba Serikali ndiyo yenye jukumu la kusomesha wanafunzi wote.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani