Wazazi matineja wahitimu elimu mbadala
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kulia) akipokea kitabu cha wageni kutoka kwa Mratibu wa kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Bi. Victoria Maige alipofikia katika ofisi hizo kwa ajili ya zoezi la kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
WAZAZI wenye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog04 Dec
UNESCO yazindua ripoti ya mafanikio ya mradi wa Wazazi Matineja
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues akisoma hotuba mbele ya wageni waalikwa waliofika kwenye uzinduzi wa Ripoti ya Mafanikio ya Mradi wa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.(Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja blog)
Kamishana wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Prof, Eustella Bhalalusesa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3DaUejesC5M/VGYeGmSZ4dI/AAAAAAAGxOQ/VPqsFsyGQcU/s72-c/TIC%2BADVERT%2BSWAHILI%2BVERSION.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wahitimu elimu ya juu wakosolewa
BAADHI ya wahitimu wa elimu juu hawana uelewa na ufahamu wa kutosha wa kile walichokisomea na mambo yanayoendelea kwenye mazingira husika. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Sekretarieti...
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Je,elimu ya juu yawanufaisha Wahitimu?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
SERIKALI YAOMBWA KUTAFUTA NJIA MBADALA KUVIFIKIA VIJIJI VISIVYOFIKIKA ILI KUVIPATIA ELIMU JUU YA COVID-19
![](https://1.bp.blogspot.com/-Auj30Or7ogI/Xpx3d4HsXEI/AAAAAAAAQsM/epwUmpr-apQcn9lqqj_d7QtcbV9MkUwYgCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot_20200419-174919_1587308148794.jpg)
Serikali imeombwa kuhakikisha kwamba inatafutanjia mbadala ,kwaajili ya kuwafikia wananchi waliopo maeneo ambayo hayafikikikiurahisi, kwaajili ya kuwapatia elimu ya kuepukana maambukizi ya homa kali yamapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19
Hayo yamesemwa na Mchungaji David Chikawe Katibu wa Kanisa la Mission to Unreaches Area nchini (MUAC),lililopo Kibaha mkoa...
10 years ago
VijimamboMKUTANO WA WAHITIMU WA CHUO CHA ELIMU YA BIASHARA (CBE)
9 years ago
Vijimambo94 WAHITIMU ELIMU YA MSINGI SHINNING SCHOOL SONGWE MBEYA
9 years ago
Habarileo08 Dec
Wahitimu Mzumbe washauriwa kutumia elimu kuboresha chuo
WAHITIMU Chuo Kikuu Mzumbe wameshauriwa kutumia elimu waliyoipata katika kuchochea maendeleo ya chuo hicho na ya taifa kwa ujumla. Rais wa Masajili ya chuo hicho, (Mzumbe University Convocation), Ludovick Utouh ambaye pia ni Mkaguzi Mkuu mstaafu wa Hesabu za Serikali, alitoa mwito huo katika mkutano wa masajili ya 15 ya chuo mjini Morogoro mwishoni mwa wiki.
9 years ago
MichuziWANAFUNZI 94 WAHITIMU ELIMU YA MSINGI SHINNING SCHOOL SONGWE MBEYA