UNESCO yazindua ripoti ya mafanikio ya mradi wa Wazazi Matineja
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues akisoma hotuba mbele ya wageni waalikwa waliofika kwenye uzinduzi wa Ripoti ya Mafanikio ya Mradi wa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.(Picha zote na Geofrey Adroph wa Pamoja blog)
Kamishana wa Elimu kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi nchini Prof, Eustella Bhalalusesa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Aug
Wazazi matineja wahitimu elimu mbadala
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kulia) akipokea kitabu cha wageni kutoka kwa Mratibu wa kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Bi. Victoria Maige alipofikia katika ofisi hizo kwa ajili ya zoezi la kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
WAZAZI wenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T8Ax3sjg0_c/XmJYOZj6DAI/AAAAAAALhig/eui8hDta6FYRAVDFBgqwUjGikeBZm_JkACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri Mwakyembe apokea ripoti ya utekelezaji wa mkataba wa UNESCO 2005
![](https://1.bp.blogspot.com/-T8Ax3sjg0_c/XmJYOZj6DAI/AAAAAAALhig/eui8hDta6FYRAVDFBgqwUjGikeBZm_JkACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2KgajO-2hxc/XmJYOLqPPCI/AAAAAAALhic/LoBVGtZ9bR4GDxSed5NVb1WpZBFzJ7FcwCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Michuzi11 Feb
UNESCO yajivunia mafanikio ya uwezeshaji Radio za kijamii Tanzania hususan kwenye maendeleo ya kijinsia
![Mwanamke akisikiliza radio](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/4Nqf2kyr-O0Fu8bLk-FfB2vJwJZzMDzGMx8HfCML9-cazH1Rb7QCR7SIuDFvzpe51elD0RhFIKJsIqJKsy3VG3W8VUtrJLJSCyCR3p8RKkgBlHlZUGQcfHM_6Y0vQAwraFalVmQ11LxHQL2aAe-r29gX1U2y4A9xv-jhGQ=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/02/Mwanamke-akisikiliza-radio1.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Jun
UNESCO kutekeleza mradi kuinua bidhaa za Kimasai
SHIRIKA la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini Tanzania linatarajia kutekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha sanaa ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya ujasiriamali wa bidhaa zinazotokana na mifugo kwa akinamama na wasichana.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SVtddXXrbCE/Voppl-lonDI/AAAAAAAIQMc/yeKGgacgNLk/s72-c/download.jpg)
TUME YA TAIFA YA TANZANIA UNESCO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NITAFUTEAPP
![](http://4.bp.blogspot.com/-SVtddXXrbCE/Voppl-lonDI/AAAAAAAIQMc/yeKGgacgNLk/s1600/download.jpg)
Huduma hii inalenga kuwezesha Utafutaji,Utambuzi,Uokozi, Matibabu na Utoaji taarifa za watu waliopotea hususani Watoto,Wagonjwa wa Akili na Wahanga wa usafirishaji haramu wa binaadamu.
Akizungumza na Waandishi wa Habari mapema leo Afisa Mtendaji Mkuu wa Huduma hiyo Trayphone Elias amesema kuwa faida zinazopatikana katika mtandao huo ni Kukuza matumizi...
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Mradi wa majaribio wa kufundisha masomo ya sayansi wa UNESCO waneemesha Tanzania
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akisoma risala ya kufungwa kwa mradi huo ambao uliojulikana kama Micro Science Kits (MSKs) kwa wadau wa elimu, wakuu wa shule mbalimbali, maafisa elimu na maofisa wa serikali kwenye ukumbi wa mikutano wa ofisi za shirika hilo jijini Dar.
Na Mwandishi wetu
MRADI wa miaka minne wa kusaidia ufundishaji wa masomo ya sayansi kwa kufanikisha majaribio ya maabara...
10 years ago
MichuziMAJADILIANO YA RIPOTI YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAFANIKIO NCHI ZA AFRIKA
10 years ago
Dewji Blog08 May
UNESCO, Serikali watia saini mradi wa mafunzo ya Tehama kwa walimu
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Bi. Zulmira Rodrigues (wa pili kulia), Balozi wa China nchini, Mh. LU Youqing (kushoto), Afisa utawala na fedha wa UNESCO, Spencer Bokosha (kulia), Ofisa anayeshughulikia masuala ya Elimu Kitaifa wa UNESCO, Tumsifu Mmar pamoja na mkalimani wa Balozi wa China wakifurahi jambo wakati Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome (hayupo pichani) akiwasili kwenye...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/DSC_0018.jpg)
MRADI WA MAJARIBIO WA KUFUNDISHA MASOMO YA SAYANSI WA UNESCO WANEEMESHA TANZANIA