Tafiti za elimu zitumike kuwazindua wazazi
Mwaka 2010, asasi isiyo ya kiserikali ya Twaweza kupitia mpango wake wa Uwezo, ilitoa ripoti iliyoonyesha namna wazazi wengi mkoani Dar es Salaam wasivyo na uelewa wa mambo mengi kuhusu elimu ya watoto wao shuleni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wazazi wapongezwa muamko wa elimu
WAZAZI mkoani hapa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwasomesha watoto wao katika shule zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi bila kujali hali duni za familia zao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mfumo wa elimu wakwaza wazazi
UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...
11 years ago
Mwananchi26 Aug
‘Wazazi wekezeni katika elimu’
11 years ago
Habarileo31 Dec
Maalim Seif: Wazazi changieni elimu
WAZAZI visiwani hapa wametakiwa kubadilika na kuachana na dhana, kwamba Serikali ndiyo yenye jukumu la kusomesha wanafunzi wote.
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Wazazi matineja wahitimu elimu mbadala
Second Secretary wa Ubalozi wa Japan, Noriko TANAKA (kulia) akipokea kitabu cha wageni kutoka kwa Mratibu wa kata ya Segese iliyopo halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Bi. Victoria Maige alipofikia katika ofisi hizo kwa ajili ya zoezi la kusaini kitabu cha wageni kabla ya kuelekea kwenye mahafali ya Mpango wa Elimu Mbadala kwa Wasichana walioacha shule kwa sababu za Ujauzito unaofadhili Ubalozi wa Japan na kuratibiwa na UNESCO.
Na Mwandishi Wetu, Shinyanga
WAZAZI wenye...
11 years ago
MichuziWAZAZI WATAKIWA KUWEKEZA KATIKA ELIMU
-============ Na...
10 years ago
Uhuru Newspaper
Wazazi Mtwara watakiwa kuthamini elimu
Na Clarence Chilumba, Mtwara
SERIKALI imewataka wazazi na walezi mkoani Mtwara, kuwapeleka shule watoto wao waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia, wakati akizungumza na Uhuru mjini hapa.

Alisema elimu ndiyo itakayowasaidia vijana wa Mtwara kunufaika na uchumi wa gesi, ambao unapatikana katika mkoa huo.
Alisema kama watoto wa mikoa ya kusini hawatapata elimu, wataishia kufanyakazi za chini,...
10 years ago
Habarileo20 Dec
Kawambwa ahimiza wazazi kuzuru maonesho ya elimu
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amewataka wazazi na walezi nchini kutembelea maonesho ya Elimu ya kimataifa katika viwanja vya maonesho vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa muhimu za elimu.
11 years ago
Habarileo05 Oct
Esther Bulaya ataka wazazi kuwekeza kwenye elimu
MBUNGE wa Viti Maalumu kupitia kundi la vijana kutoka mkoani Mara, Esther Bulaya amewataka wazazi na wananchi kwa ujumla kuwekeza kwenye elimu kwani ndio msingi wa maisha.