Mfumo wa elimu wakwaza wazazi
UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziHaki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini
10 years ago
Mwananchi26 Aug
‘Wazazi wekezeni katika elimu’
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Wazazi wapongezwa muamko wa elimu
WAZAZI mkoani hapa wamepongezwa kwa kuwa na muamko wa kuwasomesha watoto wao katika shule zinazokidhi mahitaji ya wanafunzi bila kujali hali duni za familia zao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu...
10 years ago
Tanzania Daima06 Oct
Dk. Slaa: Mfumo wa elimu ubadilishwe
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa ameitaka serikali kubadilisha mfumo mbovu wa elimu uliyopo sasa ili kujenga taifa la wasomi waliyoelimika si bora wasomi....
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Huu si mfumo wa elimu wa karne ya 21
10 years ago
Mwananchi05 Dec
‘Mfumo wa elimu una matatizo’
10 years ago
Mwananchi06 Oct
‘Mfumo wa elimu upitiwe upya’
11 years ago
Habarileo31 Dec
Maalim Seif: Wazazi changieni elimu
WAZAZI visiwani hapa wametakiwa kubadilika na kuachana na dhana, kwamba Serikali ndiyo yenye jukumu la kusomesha wanafunzi wote.