Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huu si mfumo wa elimu wa karne ya 21

Licha ya rasilimali na utajiri mwingi tulionao, Tanzania ni moja ya nchi masikini duniani. Umaskini wa nchi yetu unasababishwa na mambo kadhaa yakiwamo ombwe la uongozi, mgawanyo wa rasilimali za nchi usio sawa na mfumo duni wa elimu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19

 Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini

Uzoefu na tafiti vinaonyesha vijana wanaohitimu katika ngazi mbalimbali za elimu nchini wanakabiliwa na changamoto ya kupata ajira.

 

11 years ago

Mwananchi

Mfumo huu wa kuchuma, kula haumsaidii Mtanzania

Watu wengi wanasema mzazi mwenye busara siku zote hujitahidi kuweka akiba kwa matumizi ya familia yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumo huu pia utumike katika taasisi za umma

Hivi karibuni Serikali ilianzisha utaratibu wa wafanyabiashara kutumia mashine za risiti za kielektroniki (EFD).

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Mfumo wa elimu ubadilishwe

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa ameitaka serikali kubadilisha mfumo mbovu wa elimu uliyopo sasa ili kujenga taifa la wasomi waliyoelimika si bora wasomi....

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mfumo wa elimu una matatizo’

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema mfumo wa elimu nchini una matatizo 10 yanayokwamisha mafanikio katika sekta hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mfumo wa elimu upitiwe upya’

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa ameitaka Serikali kupitia upya mfumo wa elimu na kuanzisha ule unaoongeza uwezo wa kufikiri na kuondoa utamaduni wa kubuni unaozidi kukua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo wa elimu wakwaza wazazi

UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Mbunge alalamikia mfumo wa elimu nchini

chadema_financeNA SAFINA SARWATT, MOSHI

MBUNGE wa Moshi Vijijini, Anthony Komu (Chadema), amesema Watanzania wengi ni masikini kwa kuwa mfumo wa elimu uliopo nchini ni mbovu.

Komu aliyasema hayo juzi katika Tarafa ya Kibosho Magharibi alipokuwa kwenye ziara na Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Novatus Makunga.

Wakati wa ziara hiyo, Komu alilenga kusikiliza kero za wananchi na kukutana na viongozi waliomaliza muda wao wakiwamo wenyeviti wa vijiji na madiwani.

“Watanzania wanatakiwa kujengewa misingi bora ya elimu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani