Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo huu wa kuchuma, kula haumsaidii Mtanzania

Watu wengi wanasema mzazi mwenye busara siku zote hujitahidi kuweka akiba kwa matumizi ya familia yake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!

Kwa mtazamo wetu, Afrika Mashariki haijawahi kuwa na ushirikiano wa karibu kama tunaouona sasa. Hebu tuangalie kwa ufupi.. Turudi nyuma hadi pale Victoria Kimani alipowashirikisha Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz kufanya wimbo Prokoto. Shaa alichaguliwa na kituo cha Citizen TV kuwa host wa show yao ya Sakata Mashariki na kiukweli watazamaji wamempokeza vizuri. Shaa huyo […]

 

10 years ago

Mwananchi

Huu si mfumo wa elimu wa karne ya 21

Licha ya rasilimali na utajiri mwingi tulionao, Tanzania ni moja ya nchi masikini duniani. Umaskini wa nchi yetu unasababishwa na mambo kadhaa yakiwamo ombwe la uongozi, mgawanyo wa rasilimali za nchi usio sawa na mfumo duni wa elimu.

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumo huu pia utumike katika taasisi za umma

Hivi karibuni Serikali ilianzisha utaratibu wa wafanyabiashara kutumia mashine za risiti za kielektroniki (EFD).

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto: Unafuu wa Paye haumsaidii mfanyakazi

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe amesema unafuu wa Kodi ya Mshahara (Paye), uliotangazwa na Serikali kwamba umeshuka kutoka asilimia 13 hadi 12 ni mdogo hautamsaidia mfanyakazi kubaki na fedha kwa ajili ya matumizi wala kujiwekea akiba

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu yetu sawa na kuchuma papai kwenye mwembe - 2

Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kuelimisha watu kwa usahihi. Nilisema kuwa kuelimisha watu siyo suala la hiari, siyo suala la kubahatisha, siyo suala la miujiza wala kuhadaa watu. Ni hatua za kifikra na vitendo sahihi. Ni kipaumbele namba moja kwa nchi yoyote.

 

10 years ago

Vijimambo

NATASHA SHAYROSE WIMBO WAKE MWINGINE HUU HAPA JIPAKULIE NATASHA MTANZANIA YUPO NORWAY


http://www.soundcloud.com/natashashyrosehttp://www.myspace.com/blackrose52http://www.oddisbold.comhttp://natasha-shyrose.blogspot.no. Ukitaka kujua zaidi kuhusu na Natasha tembelea kwenye hizo link na utakudundua kipaji chake siyo cha kubahatisha.

 

9 years ago

Vijimambo

TFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI

 Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi (kulia), akibonyeza kituvye Dar es Salaam leo asubuhi, kuashiria uzinduzi wa mfumo wa utoaji vibali kwa njia ya kielekitroniki (e-portal) ambao utawezesha Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), kuhudumia wateja wake kwa kutumia mtandao wa intaneti. Mpango huo unaendeshwa kwa ushirikiano wa TFDA na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) Viongozi wakiwa meza kuu wakifuatilia uzinduzi huo.
 Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla hiyo ya uzinduzi. Wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani