Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto: Unafuu wa Paye haumsaidii mfanyakazi

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe amesema unafuu wa Kodi ya Mshahara (Paye), uliotangazwa na Serikali kwamba umeshuka kutoka asilimia 13 hadi 12 ni mdogo hautamsaidia mfanyakazi kubaki na fedha kwa ajili ya matumizi wala kujiwekea akiba

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Paye must be lowered to 9pc, proposes Zitto

Kigoma North MP Zitto Kabwe has proposed that the government should further reduce pay as you earn (Paye) to 9 per cent.

 

11 years ago

Mwananchi

Mfumo huu wa kuchuma, kula haumsaidii Mtanzania

Watu wengi wanasema mzazi mwenye busara siku zote hujitahidi kuweka akiba kwa matumizi ya familia yake.

 

11 years ago

Habarileo

Tucta kupigania PAYE ishuke

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta), limeazimia kuendelea kupigania kushushwa kwa Kodi ya Mshahara (PAYE) kutoka asilimia 13 inayokatwa hivi sasa hadi asilimia tisa, ili mfanyakazi apate ahueni ya maisha.

 

11 years ago

TheCitizen

MPs want Paye reduced to 9pc

Members of Parliament have asked the government to further consider reducing Pay As You Earn (Paye) imposed on workers in a bid to relieve them of the ever growing cost of living.

 

10 years ago

TheCitizen

Govt seeks single digit ‘Paye’ in 3 years

Chief Secretary Ombeni Sefue has said the government would lower the much complained about pay as you earn tax (Paye) charged on salaries of employees to a single digit in three years’ time.

 

10 years ago

Mwananchi

BVR yaonyesha unafuu baadhi ya maeneo

>Wakati baadhi ya maeneo wananchi wakitaabika kusimama foleni muda  mrefu kusubiri kuandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo wa Biometric Voter Registration (BVR), sehemu nyingine adha hiyo hakuna.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwekezaji Liganga aomba unafuu kodi

Kampuni ya Sichuan Hongda Group ya China iliyowekeza katika miradi ya chuma cha Liganga na makaa ya mawe ya Mchuchuma, wamemwandikia barua Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakimwomba awasaidie kupata nafuu ya kodi kabla ya kuanza uzalishaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Unafuu usitupeleke kwenye bidhaa bandia

Watanzania tumekuwa wateja wakubwa wa bidhaa bandia na zilizotengenezwa chini ya kiwango kutokana na kuangalia unafuu wa bei.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali sasa kupata unafuu wa mikopo

Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Serikali itapunguza gharama za kukopa fedha kwa riba katika taasisi za fedha na benki nchini, baada ya Benki ya Rasilimali (TIB) kuingia makubaliano na Benki ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, katika kutoa mikopo isiyokuwa na riba kwa miradi yote ya maendeleo ikiwamo ya sekta ya uchukuzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani