TFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI
Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi (kulia), akibonyeza kituvye Dar es Salaam leo asubuhi, kuashiria uzinduzi wa mfumo wa utoaji vibali kwa njia ya kielekitroniki (e-portal) ambao utawezesha Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), kuhudumia wateja wake kwa kutumia mtandao wa intaneti. Mpango huo unaendeshwa kwa ushirikiano wa TFDA na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA)
Viongozi wakiwa meza kuu wakifuatilia uzinduzi huo.
Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla hiyo ya uzinduzi.
Wadau...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi
Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Juma Reli akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari za Fedha na Uchumi (hawapo pichani) wakati wa ufunguzi wa semina hiyo jana mjini Bagamoyo, Mkoani Pwani, Kulia ni Mwenyekiti wa washiriki hao Bw. Thomas Chilala na Kushoto ni Meneja Uhusiano na Itifaki wa Benki Hiyo Bi Zalia Mbeo.
Frank Mvungi- Maelezo, Bagamoyo
Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kuimarisha mfumo wa utoaji taarifa za Uchumi na fedha kwa wananchi ili kuongeza wigo wa...
9 years ago
MichuziWACHIMBAJI WADOGO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/l3jOooqbwKY/default.jpg)
11 years ago
BBCSwahili27 May
Mfumo wa utoaji maoni TZ
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-l6egU9fwA9A/VK61npV24MI/AAAAAAAAaCQ/GQfaRFL91mI/s72-c/Mroki-Mporojost.jpg)
MAELEZO BADILISHENI MFUMO WA UTOAJI PRESS CARD
![](http://3.bp.blogspot.com/-l6egU9fwA9A/VK61npV24MI/AAAAAAAAaCQ/GQfaRFL91mI/s1600/Mroki-Mporojost.jpg)
IDARA ya Habari –MAELEZO ndiyo idara ya serikali inayoshughulika na kufanya kazi zake kama chombo cha usimamizi wa vyombo vya habari na waandishi wake.
Idara hiyo pia ndio msemaji wa masuala mbalimbali ya serikali lakini pia ndiyo idara yenye jukumu la kusajili au hata kuyafutia...
11 years ago
Mwananchi08 Jul
TEKNOLOJIA: Mfumo mpya wa TRA kurahisisha utoaji mizigo
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RRS0leQZ6Yg/Vm1gRqelAmI/AAAAAAAIMFM/K5nzmvnCsMI/s72-c/DSC_0735.jpg)
FINLAND GRANTS ADDITIONAL €2 MILLION TO TRADEMARK EAST AFRICA TO FACILITATE TRADE FACILITATION AND SPUR ECONOMIC GROWTH IN TANZANIA
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uQ5Su1x8bp4/VhZh2qrTrqI/AAAAAAAAWsI/4xj4lGcCV8I/s72-c/banner.png)
CONNECTMOJA TECHNOLOGIES LIMITED WAZINDUA MFUMO MPYA WA SCHOOL MANAGEMENT SYSTEM
![](http://3.bp.blogspot.com/-uQ5Su1x8bp4/VhZh2qrTrqI/AAAAAAAAWsI/4xj4lGcCV8I/s640/banner.png)
Akizungumza na wana habari, Mtaalamu wa utafiti na ukuzaji wa Masoko Bw. Fred Crich amewaambia wanahabari kwamba Kampuni yao ya ConnectMoja Technologies imejikita zaidi katika kuhakikisha inasaidia sekta ya elimu na uwekezaji kukua pamoja na maendeleo ya Teknolojia hapa Nchini.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Uwf_wyN5h0s/VhZhwsBHBOI/AAAAAAAAWsA/dxEBE2J6nNo/s640/CATA3.png)
Bw. Crich amesema mfumo huu umewalenga wamiliki...
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA UFUNGAJI WA MFUMO WA KUKUSANYA MAPATO KATIKA MAENEO YA UTOAJI HUDUMA ZA AFYA
NA TIGANYA VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Tabora kuhakikisha wanafunga Mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa katika maeneo yote yanayosuka na utoaji wa huduma za afya ili kuongeza kiwango cha ukusanyaji mapato.
Ukusanyaji wa mapato kwa njia za stakabadhi zilizo katika vitabu zimesababisha baadhi ya mapato kupotea na mengine kuishia mifukoni mwa watumishi wasio waaminifu.
Mwanri ametoa kauli hiyo jan20a wakati wa ukaguzi wa...