Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!
Kwa mtazamo wetu, Afrika Mashariki haijawahi kuwa na ushirikiano wa karibu kama tunaouona sasa. Hebu tuangalie kwa ufupi.. Turudi nyuma hadi pale Victoria Kimani alipowashirikisha Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz kufanya wimbo Prokoto. Shaa alichaguliwa na kituo cha Citizen TV kuwa host wa show yao ya Sakata Mashariki na kiukweli watazamaji wamempokeza vizuri. Shaa huyo […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Dec
RC aapa kula sahani moja na watendaji
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Bawacha waapa kula sahani moja na UWT
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AhyFBgGmomg/XmVGTWX2voI/AAAAAAALiG8/JiiRiJiXaEsAQmTWcjxQKTF_H1MtsuVtACLcBGAsYHQ/s72-c/2fbd2050-f26a-4378-8cb2-c1ca44f62860.jpg)
RC Makonda kula sahani moja na wanaume wanaowaonea Wanawake
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema ametangaza vita kuwashughukikia kikamilifu wanaume wenye tabia ya kuwaonea Wanawake kwa kuwapiga hadi kuwaharibu mwonekano wa sura,macho,kuwavunja meno au taya na kusababisha baadhi yao kupata ulemavu wa kudumu jambo ambalo ni kinyume na Sheria.
Makonda ameyasema hayo wakati wa maadhinisho ya siku ya Wanawake Duniani kwa Mkoa wa Dar es Salaam yaliyofanyika katika viwanja vya Leaders .
RC Makonda amesema...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z8V63pZtSIE/VWM-dY5mscI/AAAAAAAHZts/ql0s-FaiHY4/s72-c/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Ujasiriamali ndio njia pekee ya kujikomboa kiuchumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-z8V63pZtSIE/VWM-dY5mscI/AAAAAAAHZts/ql0s-FaiHY4/s640/unnamed%2B%252868%2529.jpg)
Na Benjamin Sawe.
Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira na ushindani wa kila namna ujasiriamali unabaki kuwa dhana pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi na kuwawezesha kutimiza malengo na ndoto walizonazo.
Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika ngazi mbali mbali za...
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.
Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.
Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.
“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Uhuru ahimiza ushirikiano Afrika Mashariki
11 years ago
Michuzi21 Jul
SALAMU ZA POLE WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI
Imetolewa na Wizara ya...
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Wananchi waunga mkono ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
uwezo wa kusafiri ndani ya kanda kwa kitambulisho cha taifa
miundombinu ya pamoja na uhuru wa kufanya kazi popote ndani ya Jumuiya.
Oktoba 7, 2014, Dar es Salaam: Wananchi wanane kati ya kumi (80%) wanafikiri kuwa Tanzania inapaswa kubakia ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Aidha,wananchi tisa kati ya kumi (85%) wanakubali uwepo wa ushirikiano mkubwa zaidi na Kenya na Uganda. Wananchi sita kati ya kumi pia wanauunga mkono upanuzi...
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki awataka wajasiriamali kuchangamkia masoko
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mahaley akitoa neno kwenye Maonesho ya Bidhaa za Wajasiriamali wa Bagamoyo 2014, kwenye viwanda vya kituo cha mabasi Bagamoyo.
Hussein Makame-MAELEZO
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Joyce Mapunjo, amewataka wajasiriamali wa Bagamoyo na Watanzania kwa ujumla kuwa wabunifu na kuongeza thamani za bidhaa zao ili kuhakikisha wanafaidika na fursa za masoko ya bidhaa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ameyasema hayo wakati akifungua...