Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.

Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.

Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.

“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Ujasiriamali ndio njia pekee ya kujikomboa kiuchumi

Mradi wa Kilimo cha Tangawizi wa kikundi cha ujasiriamlai chaushindi kilichopo katika kijiji cha Mkongotema kata ya Mkongotema tarafa ya Madaba Halmashauri ya Songea.
Na Benjamin Sawe.
Katika ulimwengu wa sasa wenye changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira na ushindani wa kila namna ujasiriamali unabaki kuwa dhana pekee inayoweza kuwakomboa vijana kiuchumi na kuwawezesha kutimiza malengo na ndoto walizonazo.
Kutokana na kukithiri kwa idadi kubwa ya vijana wanaohitimu katika ngazi mbali mbali za...

 

5 years ago

Michuzi

CCM HAKINA BEI YA BINADAMU BALI UTUMISHI KWA WANANCHI NDIO SILAHA MADHUBUTI ASEMA MASAWE



Kamati ya siasa wilaya ya Arusha mjini ukiendelea na kikao chake pamoja na kuwapokea waliokuwa madiwani wa kata za Ngarenaro na Sakina waliojiunga na chama hicho leo

Viongozi wa ccm kata ya Ngarenaro waliomsindikiza aliyekuwa Diwani wa kata hiyo Isaya Doita kujiunga na chama hicho leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha


Wajaumbe wa kamati ya siasa CCM ya halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa UWT wilaya hiyo Merry Kisaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi...

 

10 years ago

Bongo5

Dude asema anakubaliana na Steps kuuza filamu moja Tsh 1,500

Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo. Dude ameiambia leo Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu. […]

 

10 years ago

Bongo5

Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!

Kwa mtazamo wetu, Afrika Mashariki haijawahi kuwa na ushirikiano wa karibu kama tunaouona sasa. Hebu tuangalie kwa ufupi.. Turudi nyuma hadi pale Victoria Kimani alipowashirikisha Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz kufanya wimbo Prokoto. Shaa alichaguliwa na kituo cha Citizen TV kuwa host wa show yao ya Sakata Mashariki na kiukweli watazamaji wamempokeza vizuri. Shaa huyo […]

 

9 years ago

Bongo5

Nisher asema bei mpya anayotoza kushoot video ndio inayowakimbiza wasanii wengi

Nisher7

Mwishoni mwa mwaka 2013 muongozaji wa video nchini, Nisher alikuwa akitoza shilingi milioni 3 kushoot video moja ya muziki, na aliahidi kuongeza bei hadi kufikia dola 4000 pale vifaa vipya alivyoagiza vitakapowasili.

Nisher7

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Nisher amesema kwa sasa anatoza shilingi milioni 10 kwa video moja, ambayo inahusisha gharama zote za utegenezaji kama location, models, malipo ya director pamoja na usambazaji.

“Kwasasa video kwangu ni 10 million (production/director’s...

 

10 years ago

Bongo Movies

Sakata la kushushwa kwa bei za filamu.Watayarishaji filamu nao waibuka

Bodi ya Filamu kwa kushirikiana na Wizara ya Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo, Wizara ya Fedha na Wizara ya Viwanda na Biashara, TRA, TBS, imekuwa ikifanya vikao vya ndani zaidi ya viwili sasa na wasambazaji wa filamu ili kuzungumzia suala ya bei ya filamu. “Tunaiomba serikali kupitia vyombo vyake vyote vinavyoshiriki haya masuala ya filamu, kusifanyike mkutano wa aina yoyote ile kuzungumzia bei ya filamu bila kushirikisha maprodyuza, sisi ndiyo wenye filamu na ndiyo tunaotengeneza sasa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude: Filamu Kwa Buku, ‘No’, Nasema Nooo!

Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini.

Akizungumzia swala hilo, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali italifumbia macho suala hilo, soko la filamu litakufa.

“Yaani nasema noooo, kiukweli filamu kuuzwa bei ya shilingi elfu moja wasanii tutakuwa hatuioni faida, ni bora...

 

10 years ago

GPL

DUDE: FILAMU KWA BUKU, ‘NO’, NASEMA NOOO!

Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude. Stori: Shani Ramadhani
Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani