Dude: Filamu Kwa Buku, ‘No’, Nasema Nooo!
Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini.
Akizungumzia swala hilo, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali italifumbia macho suala hilo, soko la filamu litakufa.
“Yaani nasema noooo, kiukweli filamu kuuzwa bei ya shilingi elfu moja wasanii tutakuwa hatuioni faida, ni bora...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ2LEmdwRP5fKWBFBhpHblXh1Cix3shd0lLHnrRZ3zK6jUcKFJcrKwmYKcXbO9azcFCjvTJDbTwOGLQLETjtUqn*/1_3.jpg?width=650)
DUDE: FILAMU KWA BUKU, ‘NO’, NASEMA NOOO!
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.
Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.
Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.
“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...
10 years ago
GPLMTITU ASHANGAA NISHA, JB KUKUBALI FILAMU ZA BUKU
10 years ago
Bongo521 Jan
Dude asema anakubaliana na Steps kuuza filamu moja Tsh 1,500
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CbvAhPkO3mc/VLVKEpfrY7I/AAAAAAADVeI/ZnpektTYXhw/s72-c/d1.jpg)
10 years ago
Bongo528 Mar
New Video: Diamond atoa video mpya ‘Nasema Nawe’ kwa kushtukiza, kamshirikisha Khadija Kopa
10 years ago
Bongo Movies19 Jan
Sakata la kushushwa kwa bei za filamu.Watayarishaji filamu nao waibuka
9 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Muongozaji wa filamu wa Tanzania ashinda tuzo za Marekani na kuwashangaza kwa ubora wa filamu zake