MTITU ASHANGAA NISHA, JB KUKUBALI FILAMU ZA BUKU
Muongozaji, msanii na mmiliki wa Kampuni ya Filamu ya Five Effects, William Mtitu. Muongozaji, msanii na mmiliki wa Kampuni ya Filamu ya Five Effects, William Mtitu amewavaa wasanii wenzake wakiwemo Salma Jabu ‘Nisha’, Jacob Steven ‘JB’ na wengineo akidai wanatumiwa kuiua tasnia ya filamu Bongo kwa kukubali CD zao kuuzwa buku. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Mtitu alisema Kampuni ya Steps imeamua...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu
Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;
"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...
10 years ago
Bongo Movies09 Jan
Dude: Filamu Kwa Buku, ‘No’, Nasema Nooo!
Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini.
Akizungumzia swala hilo, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali italifumbia macho suala hilo, soko la filamu litakufa.
“Yaani nasema noooo, kiukweli filamu kuuzwa bei ya shilingi elfu moja wasanii tutakuwa hatuioni faida, ni bora...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Mtitu awashukuru wadau wa filamu
MKURUGENZI wa kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu, amewashukuru wadau wa filamu kutokana na kitendo chao cha kuwa beba kwa beka katika msiba wa baba yake mzazi, Mzee...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ2LEmdwRP5fKWBFBhpHblXh1Cix3shd0lLHnrRZ3zK6jUcKFJcrKwmYKcXbO9azcFCjvTJDbTwOGLQLETjtUqn*/1_3.jpg?width=650)
DUDE: FILAMU KWA BUKU, ‘NO’, NASEMA NOOO!
11 years ago
GPLHIVI NDIVYO ALIVYOAGWA BABA WA MWIGIZAJI FILAMU MTITU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9677Xpk6OnWwP33g*IbXKkK5dW2o7Ka3E3jUpkyjtPljLwhatfAA4BSFs8uVsVCshCL*IyhJe1vkf4LaXAmaP2rVh29Al1it/mtitu.jpg)
MTITU: RAIS KIKWETE ALINIFANYA NIANZISHE KAMPUNI YA KUSAMBAZA FILAMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91slelhNwDq1iEa1cWBnJYULnEqM1-FhE01TmrwNP-HuluIKqp8U0RT0ZA5k5Ll6e0c6lZlwszIE8wDmA8I9O-PH4A/4.jpg)
NISHA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU!
10 years ago
Bongo Movies04 Mar
Nisha: Mimi ni Msanii Wa Filamu,Ila Napenda Muziki
Mwigizaji wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema japo kuwa anafanya sanaa ya uigizaji ila anapenda sana kuwa mwanamuziki.
Nisha aliyasema hayo hivi majuzi alipokuwa kwenye studio za THT pamoja na mastaa wengine wakirekoni wimbo maalumu wa maombolezo ya msiba wa marehemu Captain John Komba.
Kila la kheri Nisha kama kweli unakipaji,...nitafurahi kama ukija kivingine, uwe tofauti na kina shilole na H mama.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
Bongo Movies12 May
Nisha Awapasha Watayarishaji wa filamu na Mastaa wa Bongo Movies, Yeye Aonyesha Njia
Hili naomba niwaulize ma- producers, mastaaa wengine,na mashabiki wote.. hivi mnajua kuna vipaji sana nje ya wanaojiita mastaa ila bado hawajapata nafasi??
Hivi ni kubaniwa ama nini hadi wengine hawaonekani? Kama sisi tungebaniwa tungetoka? Hebu tuacheni maringo na kusaidia wenye uhitaji .
Mnayemuona juu hapo (Pichani) anaitwa Jenifer Temu picha tu jinsi alivyovaa uhusika inajieleza ni kwa jinsi gani amevaa uhusika kwenye filamu ya Mtaa kwa Mtaa, si huyo tu wapo wengi katika wale 50...