Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTITU ASHANGAA NISHA, JB KUKUBALI FILAMU ZA BUKU

Muongozaji, msanii na mmiliki wa Kampuni ya Filamu ya Five Effects, William Mtitu. Muongozaji, msanii na mmiliki wa Kampuni ya Filamu ya Five Effects, William Mtitu amewavaa wasanii wenzake wakiwemo Salma Jabu ‘Nisha’, Jacob Steven ‘JB’ na wengineo akidai wanatumiwa kuiua tasnia ya filamu Bongo kwa kukubali CD zao kuuzwa buku. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Mtitu alisema Kampuni ya Steps imeamua...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu

Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment  kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi  shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.

Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;

"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Dude: Filamu Kwa Buku, ‘No’, Nasema Nooo!

Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa nchini, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini.

Akizungumzia swala hilo, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali italifumbia macho suala hilo, soko la filamu litakufa.

“Yaani nasema noooo, kiukweli filamu kuuzwa bei ya shilingi elfu moja wasanii tutakuwa hatuioni faida, ni bora...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtitu awashukuru wadau wa filamu

MKURUGENZI wa kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu, amewashukuru wadau wa filamu kutokana na kitendo chao cha kuwa beba kwa beka katika msiba wa baba yake mzazi, Mzee...

 

10 years ago

GPL

DUDE: FILAMU KWA BUKU, ‘NO’, NASEMA NOOO!

Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude. Stori: Shani Ramadhani
Staa wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameiomba serikali iwasaidie kutokana na mpango uliowekwa wa kuuzwa filamu zao kwa shilingi elfu moja, jambo ambalo anaona litawafanya wasanii wazidi kuwa masikini. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, Dude alionesha kutokukubaliana na hatua hiyo na kueleza kuwa, endapo serikali...

 

11 years ago

GPL

HIVI NDIVYO ALIVYOAGWA BABA WA MWIGIZAJI FILAMU MTITU

Mtitu akiingia nyumbani baada ya kutoka hospitali kuchukua mwili wa baba yake.
Wasanii mbalimbali wa filamu wakiwa kwenye msiba.
Mtitu akiwa ameshikilia picha ya baba yake wakati mwili ukitolewa kanisani  kuingia nyumbani.…

 

11 years ago

GPL

MTITU: RAIS KIKWETE ALINIFANYA NIANZISHE KAMPUNI YA KUSAMBAZA FILAMU

Makala: Elvan Stambuli
WILLIAM Mtitu ni mdau mkubwa wa filamu hapa nchini anayefahamika na wapenzi wengi wa tasnia hiyo.
Yeye ni Mkurugenzi wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd inayojihusisha na usambazaji wa filamu nchini, muigizaji na muongozaji pia. Amepata mafaniko katika kazi hizo. Mkurugenzi wa Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu ndani ya… ...

 

10 years ago

GPL

NISHA: NDOA HAITANIFANYA NIACHE FILAMU!

Stori: Laurent Samatta
WAKATI baadhi ya wasanii wakipewa masharti kuacha kuigiza pindi wanapoolewa, nyota wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’, amedai hata kama akiamua kuolewa na kuishi na mwanaume kamwe hawezi kuachana na tasnia hiyo kwani ndiyo iliyomfanya aishi maisha mazuri mjini. Nyota wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’. Nisha alizungumza na paparazi wetu juzikati na kudai kuwa wanawake wengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha: Mimi ni Msanii Wa Filamu,Ila Napenda Muziki

Mwigizaji wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema japo kuwa anafanya sanaa ya uigizaji ila anapenda sana kuwa mwanamuziki.

Nisha aliyasema hayo hivi majuzi alipokuwa kwenye studio za THT pamoja na mastaa wengine wakirekoni wimbo maalumu wa maombolezo ya msiba wa marehemu Captain John Komba.

Kila la kheri Nisha kama kweli unakipaji,...nitafurahi kama ukija kivingine, uwe tofauti na kina shilole na H mama.

Mzee wa Ubuyu

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha Awapasha Watayarishaji wa filamu na Mastaa wa Bongo Movies, Yeye Aonyesha Njia

Hili naomba niwaulize ma- producers, mastaaa wengine,na mashabiki wote.. hivi mnajua kuna vipaji sana nje ya wanaojiita mastaa ila bado hawajapata nafasi??

Hivi ni kubaniwa ama nini hadi wengine hawaonekani? Kama sisi tungebaniwa tungetoka?  Hebu tuacheni maringo na kusaidia wenye uhitaji .

Mnayemuona juu hapo (Pichani) anaitwa Jenifer Temu picha tu jinsi alivyovaa uhusika inajieleza ni kwa jinsi gani amevaa uhusika kwenye filamu ya Mtaa kwa Mtaa, si huyo tu wapo wengi katika wale 50...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani