Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI NDIVYO ALIVYOAGWA BABA WA MWIGIZAJI FILAMU MTITU

Mtitu akiingia nyumbani baada ya kutoka hospitali kuchukua mwili wa baba yake.
Wasanii mbalimbali wa filamu wakiwa kwenye msiba.
Mtitu akiwa ameshikilia picha ya baba yake wakati mwili ukitolewa kanisani  kuingia nyumbani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu

Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment  kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi  shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.

Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;

"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...

 

10 years ago

GPL

BABA WA IMELDA MTEMA ALIVYOAGWA NYUMBANI KWAKE JIJINI DAR

Marehemu Florence F. Mtema enzi za uhai wake. Kaka wa marehemu akiwa amebeba msalaba wakati mwili ukitolewa nyumbani.
Mwili wa marehemu ukiwekwa kwenye gari kupelekwa katika Kanisa Katoliki la Ukonga jijini Dar.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwigizaji wa filamu ya Godzilla afariki

Hiroshi Koizumi ,msanii wa Japan ambaye aliigiza katika filamu nyingi za Godzilla amefariki akiwa na umri wa miaka 88.

 

11 years ago

GPL

MTITU AFIWA NA BABA YAKE

STAA wa filamu za kibongo William Mtitu amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi, Mzee John Mtitu aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na uvimbe kichwani Akizungumza kwa masikitiko nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam, Mtitu alisema amesikitishwa na kifo cha baba yake lakini hana jinsi kwani Mungu amempenda zaidi na hiyo ni njia ya kila mmoja. Staa wa filamu za kibongo, William...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtitu awashukuru wadau wa filamu

MKURUGENZI wa kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, William Mtitu, amewashukuru wadau wa filamu kutokana na kitendo chao cha kuwa beba kwa beka katika msiba wa baba yake mzazi, Mzee...

 

11 years ago

GPL

MTITU AKESHA AKIMUOMBEA BABA YAKE

MSANII wa filamu za Kibongo, William Mtitu ameelza kuwa, anakesha na kuomba ili Mungu amuwezeshe kumponya baba yake mzazi, Mzee John Mtitu ambaye yuko hoi hospitali kutokana na kuugua kwa muda mrefu. Mzee John Mtitu akiwa hospitali. Akizungumza kwa huzuni Mtitu alisema ni muda mrefu umepita tangu baba yake aanze kuugua na  kulazwa Taasisi ya Mifupa Moi akisumbuliwa na uvimbe kichwani hali iliyomsababishia afanyiwe...

 

9 years ago

Global Publishers

Baba wa mwigizaji Genevieve Nnaji afikisha miaka 80

image

Mwigizaji Genevieve Nnaji akiwa na baba’ke.

MWIGIZAJI wa kike wa Nigeria, Genevieve Nnaji, jana alijirusha kwa furaha katika sherehe ya baba yake kutimiza miaka 80 siku ya Desemba 15, 2015.

Genevieve aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa Instragram leo asubuhi akimshukuru Mungu kwa kumlinda baba yake hadi leo ambapo alipiga naye picha na baba yake.

Baba yake Genevieve ambaye ni moto wa nne miongoni mwa watoto wanane wa familia yake, alikuwa mhandisi kabla ya kustaafu.

 

10 years ago

GPL

MTITU AMJUA BABA YAKE AKIWA NA MIAKA 17

Na Mwandishi Wetu/Uwazi MKONGWE kunako filamu Bongo, William Mtitu amefunguka ya moyoni kuwa tangu amezaliwa alikuwa hamjui baba yake mzazi, Mtitu na amekuja kumjua akiwa tayari ametimiza miaka 17. Mwigizaji wa Bongo Muvi, William Mtitu akiwa na mwanaye Jane. Akizungumza na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani