Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwigizaji wa filamu ya Godzilla afariki

Hiroshi Koizumi ,msanii wa Japan ambaye aliigiza katika filamu nyingi za Godzilla amefariki akiwa na umri wa miaka 88.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Mwigizaji wa filamu ya Harry Potter ‘Dave Legeno’ afariki akiwa na miaka 50

Mwigizaji raia wa Uingereza aliyecheza series za Harry Potter ‘Dave Legeno’ amekutwa amekufa jijini California, kwa mujibu wa The Hollywood Reporter. Dave Legeno, mwenye umri wa miaka 50, alikutwa akiwa amepoteza maisha siku ya Jumapili na mwili wake kuchukuliwa na helicopter. “The reporting party was part of an unrelated two-person hiking group. Due to the […]

 

11 years ago

GPL

MWIGIZAJI BOB HOSKINS AFARIKI DUNIA

Robert William 'Bob Hoskins' ndani ya filamu ya Who Framed Roger Rabbit (1988). Bob Hoskins enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI maarufu wa Uingereza, Robert William maarufu kwa jina la 'Bob Hoskins' amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 kwa ugonjwa wa Numonia 'pneumonia'.…

 

10 years ago

GPL

MWIGIZAJI MUNA OBIEKWE WA NIGERIA AFARIKI DUNIA

Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo. Vyanzo vilivyokuwa karibu na mwigizaji huyo, vinasema Muna alikuwa akipambana na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu kabla ya kumwambia rais wa chama cha waigizaji cha...

 

11 years ago

GPL

HIVI NDIVYO ALIVYOAGWA BABA WA MWIGIZAJI FILAMU MTITU

Mtitu akiingia nyumbani baada ya kutoka hospitali kuchukua mwili wa baba yake.
Wasanii mbalimbali wa filamu wakiwa kwenye msiba.
Mtitu akiwa ameshikilia picha ya baba yake wakati mwili ukitolewa kanisani  kuingia nyumbani.…

 

11 years ago

GPL

MWIGIZAJI NA SHOGA MAARUFU WA NOLLYWOOD NIGERIA AFARIKI GHAFLA

Mwigizaji maarufu Charles Warren enzi za uhai wake. Mwigizaji maarufu Charles Warren ambaye ni shoga anayeigiza sinema katika tasnia ya sinema ya Nollywood nchini Nigeria amefariki ghafla alhamisi iliyopita majira ya usiku katika Hospitali moja jijini Lagos nchini Nigeria. Charles Warren alifariki ghafla wakati akiifanya mapenzi (akimegwa) na mwenzake aliyetajwa kwa jina la Ajah ambapo ghafla alianza kulalamika maumivu ya kiuno...

 

10 years ago

Dewji Blog

Godzilla wa Sengerema amuibukia Godzilla wa Salasala kwa madai ya kuibiwa jina

IMG_0860

Picha ni msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa anayemshutumu Godzilla wa Salasala kamwibia jina lake.

Na Daniel Makaka, Sengerema

Msanii wa nyimbo za Bongo flava, Godfrey Ally kutoka Kanda ya Ziwa, mwenye makazi yake kijiji cha Bupandwa Kata ya Bupandwa wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ameibuka na kusema kuwa aliibiwa jina hilo  na msanii maarufu wa Hip Hop, kutoka Salasala,  Golden Mbunda  “ Godzilla”  ambaye msanii huyo anajiita hivyo.

Akizungumza na mwandishi...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya filamu mpya ya mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji — ‘Road to Yesterday’

Mwigizaji maarufu wa Nigeria, Genevieve Nnaji amecheza kwenye filamu mpya iitwayo ‘Road to Yesterday’, ikiwa ndio filamu yake ya kwanza ndani ya miaka miwili iliyopita. Kwenye filamu hiyo aliyocheza na muigizaji mpya Muingereza mwenye asili ya Nigeria aitwaye Oris Erhuerho, Genevieve ameigiza kama ‘Victoria Izu’ ambaye ni mke pamoja na mama. ‘Road to Yesterday’ ni […]

 

10 years ago

Bongo5

Road to Yesterday: Teaser ya pili ya filamu mpya ya mwigizaji wa Naija Genevieve Nnaji (video)

Wiki iliyopita iliachiwa teaser ya kwanza ya filamu mpya ‘Road to Yesterday’ ambayo ameigiza staa wa Nollywood, Genevieve Nnaji kutoka Nigeria. Filamu hiyo ambayo ndio ya kwanza kutoka kwa Genevieve ndani ya miaka miwili, imebeba story ya wanandoa wanaojaribu kuokoa ndoa yao ambayo iko kwenye mgogoro. Genevieve ameigiza kama mke na mama kwa kutumia jina […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani