Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwigizaji wa filamu ya Harry Potter ‘Dave Legeno’ afariki akiwa na miaka 50

Mwigizaji raia wa Uingereza aliyecheza series za Harry Potter ‘Dave Legeno’ amekutwa amekufa jijini California, kwa mujibu wa The Hollywood Reporter. Dave Legeno, mwenye umri wa miaka 50, alikutwa akiwa amepoteza maisha siku ya Jumapili na mwili wake kuchukuliwa na helicopter. “The reporting party was part of an unrelated two-person hiking group. Due to the […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwigizaji wa filamu ya Godzilla afariki

Hiroshi Koizumi ,msanii wa Japan ambaye aliigiza katika filamu nyingi za Godzilla amefariki akiwa na umri wa miaka 88.

 

5 years ago

The Verge

The first Harry Potter audiobook voiced by Stephen Fry is now free to stream

The first Harry Potter audiobook voiced by Stephen Fry is now free to stream  The VergeJK Rowling launches 'Harry Potter at Home' hub for children  CNNPotterheads! JK Rowling has launched a 'Harry Potter at home' digital hub  PocketNowJK Rowling launches Harry Potter At Home for homebound families  DAWN.comA New 'Harry Potter' Documentary Is Coming to BBC  Showbiz Cheat SheetView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa Misri Hosni Mubarak afariki akiwa na umri wa miaka 91

Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia hospitalini jijini Cairo akiwa na miaka 91.

Mubarak alidumu madarakani kwa miongo mitatu kabla ya kung'atuliwa jeshi baada ya maandamano makubwa ya raia.

Alikutwa na hatia ya kula njama katika mauaji ya waandamanaji wakati wa mapinduzi na kuwekwa kizuizini.

Hata hivyo, hatia hiyo iliondolewa na akaachiwa huru mwezi Machi 2017.

Kifo chake kimethibitishwa na Televisheni ya taifa ya Misri leo Jumanne. Mapema tovuti ya Al-Watan iliripoti kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Cye:Paka mfupi kuliko wote afariki akiwa na miaka 24

Miezi miwili iliyopita, tuliwaletea makala fupi kuhusu paka aliyeitwa Poppy maarufu kwa jina la Cye aliyekuwa akishikilia rekodi ya ufupi kuliko wote duniani, ambaye wiki hii amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 24.

 

5 years ago

Michuzi

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Msanii gwiji wa muziki wa Country nchini Marekani Kenny Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.

Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".

Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.

Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...

 

11 years ago

GPL

ERIC LAWSON 'MARLBORO' AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 72

Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro enzi za uhai wake. MWIGIZAJI wa Marekani, Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro baada ya kutokea katika matangazo ya sigara miaka ya 1970 amefariki kwa ugonjwa wa mapafu akiwa na umri wa miaka 72. Lawson alifariki Januari 10 mwaka huu akiwa nyumbani kwake San Luis Obispo kwa ugonjwa wa mapafu, kwa mujibu wa mkewe Susan Lawson. Lawson aliyeanza kuvuta sigara akiwa na umri wa miaka 14,...

 

11 years ago

GPL

PETER O’TOOLE WA ‘LAWRENCE OF ARABIA’ AFARIKI AKIWA NA MIAKA 81

                                                                   Peter O'Toole enzi za uhai wake.  MCHEZA sinema Peter O'Toole, aliyeng’aa mnamo mwaka  1962 alipocheza kama T. E. Lawrence katika filamu  ya...

 

11 years ago

GPL

MWIGIZAJI BOB HOSKINS AFARIKI DUNIA

Robert William 'Bob Hoskins' ndani ya filamu ya Who Framed Roger Rabbit (1988). Bob Hoskins enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI maarufu wa Uingereza, Robert William maarufu kwa jina la 'Bob Hoskins' amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 kwa ugonjwa wa Numonia 'pneumonia'.…

 

10 years ago

GPL

MWIGIZAJI MUNA OBIEKWE WA NIGERIA AFARIKI DUNIA

Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo. Vyanzo vilivyokuwa karibu na mwigizaji huyo, vinasema Muna alikuwa akipambana na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu kabla ya kumwambia rais wa chama cha waigizaji cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani