Mwigizaji wa filamu ya Harry Potter ‘Dave Legeno’ afariki akiwa na miaka 50
Mwigizaji raia wa Uingereza aliyecheza series za Harry Potter ‘Dave Legeno’ amekutwa amekufa jijini California, kwa mujibu wa The Hollywood Reporter. Dave Legeno, mwenye umri wa miaka 50, alikutwa akiwa amepoteza maisha siku ya Jumapili na mwili wake kuchukuliwa na helicopter. “The reporting party was part of an unrelated two-person hiking group. Due to the […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Mwigizaji wa filamu ya Godzilla afariki
Hiroshi Koizumi ,msanii wa Japan ambaye aliigiza katika filamu nyingi za Godzilla amefariki akiwa na umri wa miaka 88.
5 years ago
The Verge02 Apr
The first Harry Potter audiobook voiced by Stephen Fry is now free to stream
The first Harry Potter audiobook voiced by Stephen Fry is now free to stream The VergeJK Rowling launches 'Harry Potter at Home' hub for children CNNPotterheads! JK Rowling has launched a 'Harry Potter at home' digital hub PocketNowJK Rowling launches Harry Potter At Home for homebound families DAWN.comA New 'Harry Potter' Documentary Is Coming to BBC Showbiz Cheat SheetView Full coverage on Google News
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3NXuNKEIr3w/XlV7pOcYN_I/AAAAAAALfbI/cr8nHaoci7EKesyVVV54D2O2jYichP09ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111026786_44c51fd1-9752-4798-9abd-33e27c9ba0c5.jpg)
Rais wa Misri Hosni Mubarak afariki akiwa na umri wa miaka 91
![](https://1.bp.blogspot.com/-3NXuNKEIr3w/XlV7pOcYN_I/AAAAAAALfbI/cr8nHaoci7EKesyVVV54D2O2jYichP09ACLcBGAsYHQ/s640/_111026786_44c51fd1-9752-4798-9abd-33e27c9ba0c5.jpg)
Mubarak alidumu madarakani kwa miongo mitatu kabla ya kung'atuliwa jeshi baada ya maandamano makubwa ya raia.
Alikutwa na hatia ya kula njama katika mauaji ya waandamanaji wakati wa mapinduzi na kuwekwa kizuizini.
Hata hivyo, hatia hiyo iliondolewa na akaachiwa huru mwezi Machi 2017.
Kifo chake kimethibitishwa na Televisheni ya taifa ya Misri leo Jumanne. Mapema tovuti ya Al-Watan iliripoti kuwa...
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Cye:Paka mfupi kuliko wote afariki akiwa na miaka 24
Miezi miwili iliyopita, tuliwaletea makala fupi kuhusu paka aliyeitwa Poppy maarufu kwa jina la Cye aliyekuwa akishikilia rekodi ya ufupi kuliko wote duniani, ambaye wiki hii amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 24.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZrxKHDDh9E/XnZiMeRW5KI/AAAAAAALkqg/0yhByVpa9FUJp3pSlr5HHeMNTmv3kXB-ACLcBGAsYHQ/s72-c/_111379616_gettyimages-544028466.jpg)
Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81
![](https://1.bp.blogspot.com/-7ZrxKHDDh9E/XnZiMeRW5KI/AAAAAAALkqg/0yhByVpa9FUJp3pSlr5HHeMNTmv3kXB-ACLcBGAsYHQ/s640/_111379616_gettyimages-544028466.jpg)
Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".
Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.
Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2K8f547hRfR7w4D6Yd1Xd*dSfLlwsfT*rV6q-SNZ54c-vjOL5eZhUOfjqwa9en02TNocrUR2G5DB0i-CpS3TXyI/1oMARLBOROMANERICLAWSON570.jpg?width=450)
ERIC LAWSON 'MARLBORO' AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 72
Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro enzi za uhai wake. MWIGIZAJI wa Marekani, Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro baada ya kutokea katika matangazo ya sigara miaka ya 1970 amefariki kwa ugonjwa wa mapafu akiwa na umri wa miaka 72. Lawson alifariki Januari 10 mwaka huu akiwa nyumbani kwake San Luis Obispo kwa ugonjwa wa mapafu, kwa mujibu wa mkewe Susan Lawson. Lawson aliyeanza kuvuta sigara akiwa na umri wa miaka 14,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0nbIgNWoGaZxEWkdpBombrWnslBw*tWNZQ12Diyq1lyrNxh-sHULeG*CNuOBDttAdCeUZMHeF0Cwg**UTo-1vwp/peter1.jpg?width=650)
PETER O’TOOLE WA ‘LAWRENCE OF ARABIA’ AFARIKI AKIWA NA MIAKA 81
                                                                  Peter O'Toole enzi za uhai wake.  MCHEZA sinema Peter O'Toole, aliyeng’aa mnamo mwaka  1962 alipocheza kama T. E. Lawrence katika filamu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHPXjb9JjjWbGdisDBWHgIYifsVgnM25*Qu5aKbbgfSOBSQKMkComghXTp0K3F-GaPuJO83UEyP4X1WCjVJzSFh/1.jpg)
MWIGIZAJI BOB HOSKINS AFARIKI DUNIA
Robert William 'Bob Hoskins' ndani ya filamu ya Who Framed Roger Rabbit (1988). Bob Hoskins enzi za uhai wake.
MWIGIZAJI maarufu wa Uingereza, Robert William maarufu kwa jina la 'Bob Hoskins' amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71 kwa ugonjwa wa Numonia 'pneumonia'.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mlt2eWa4butuCKfV1w40KWPJkHTTbc9GA9CQij9UV4rpFuUoJrqg95BcQgq6B7Hrio-pm-HpoArGZ8OPjuhOJN/MUNA.jpg?width=650)
MWIGIZAJI MUNA OBIEKWE WA NIGERIA AFARIKI DUNIA
Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo. Vyanzo vilivyokuwa karibu na mwigizaji huyo, vinasema Muna alikuwa akipambana na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu kabla ya kumwambia rais wa chama cha waigizaji cha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania