PETER O’TOOLE WA ‘LAWRENCE OF ARABIA’ AFARIKI AKIWA NA MIAKA 81
                                                                  Peter O'Toole enzi za uhai wake.  MCHEZA sinema Peter O'Toole, aliyeng’aa mnamo mwaka  1962 alipocheza kama T. E. Lawrence katika filamu ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Cye:Paka mfupi kuliko wote afariki akiwa na miaka 24
5 years ago
MichuziRais wa Misri Hosni Mubarak afariki akiwa na umri wa miaka 91
Mubarak alidumu madarakani kwa miongo mitatu kabla ya kung'atuliwa jeshi baada ya maandamano makubwa ya raia.
Alikutwa na hatia ya kula njama katika mauaji ya waandamanaji wakati wa mapinduzi na kuwekwa kizuizini.
Hata hivyo, hatia hiyo iliondolewa na akaachiwa huru mwezi Machi 2017.
Kifo chake kimethibitishwa na Televisheni ya taifa ya Misri leo Jumanne. Mapema tovuti ya Al-Watan iliripoti kuwa...
11 years ago
Bongo514 Jul
Mwigizaji wa filamu ya Harry Potter ‘Dave Legeno’ afariki akiwa na miaka 50
5 years ago
MichuziMwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81
Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".
Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.
Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...
11 years ago
GPLERIC LAWSON 'MARLBORO' AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 72
10 years ago
VijimamboTazama picha ya mfalme wa Saudi Arabia aliyefariki akiwa na wake zake 30.
10 years ago
Mtanzania24 Jan
Mfalme wa Saudi Arabia afariki dunia
RIYADH, Saudi Arabia
MFALME wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud (90), amefariki dunia jana na cheo chake kurithiwa mara moja na mdogo wake, Salman (79).
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la DW, Ofisi ya Kifalme haijataja sababu ya kifo cha Mfalme Abdullah, lakini habari zaidi zinadai kuwa kiongozi huyo alilazwa hospitali tangu Desemba mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na homa ya mapafu ambapo kwa muda wote tangu akiwa hospitali alipumua kwa msaada wa mashine.
Mfalme Abdullah bin...
10 years ago
Mwananchi04 Aug
10 years ago
VijimamboMZEE PETER KISUMO AFARIKI DUNIA