Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PETER O’TOOLE WA ‘LAWRENCE OF ARABIA’ AFARIKI AKIWA NA MIAKA 81

                                                                   Peter O'Toole enzi za uhai wake.  MCHEZA sinema Peter O'Toole, aliyeng’aa mnamo mwaka  1962 alipocheza kama T. E. Lawrence katika filamu  ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Cye:Paka mfupi kuliko wote afariki akiwa na miaka 24

Miezi miwili iliyopita, tuliwaletea makala fupi kuhusu paka aliyeitwa Poppy maarufu kwa jina la Cye aliyekuwa akishikilia rekodi ya ufupi kuliko wote duniani, ambaye wiki hii amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 24.

 

5 years ago

Michuzi

Rais wa Misri Hosni Mubarak afariki akiwa na umri wa miaka 91

Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak afariki dunia hospitalini jijini Cairo akiwa na miaka 91.

Mubarak alidumu madarakani kwa miongo mitatu kabla ya kung'atuliwa jeshi baada ya maandamano makubwa ya raia.

Alikutwa na hatia ya kula njama katika mauaji ya waandamanaji wakati wa mapinduzi na kuwekwa kizuizini.

Hata hivyo, hatia hiyo iliondolewa na akaachiwa huru mwezi Machi 2017.

Kifo chake kimethibitishwa na Televisheni ya taifa ya Misri leo Jumanne. Mapema tovuti ya Al-Watan iliripoti kuwa...

 

11 years ago

Bongo5

Mwigizaji wa filamu ya Harry Potter ‘Dave Legeno’ afariki akiwa na miaka 50

Mwigizaji raia wa Uingereza aliyecheza series za Harry Potter ‘Dave Legeno’ amekutwa amekufa jijini California, kwa mujibu wa The Hollywood Reporter. Dave Legeno, mwenye umri wa miaka 50, alikutwa akiwa amepoteza maisha siku ya Jumapili na mwili wake kuchukuliwa na helicopter. “The reporting party was part of an unrelated two-person hiking group. Due to the […]

 

5 years ago

Michuzi

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Msanii gwiji wa muziki wa Country nchini Marekani Kenny Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.

Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".

Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.

Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...

 

11 years ago

GPL

ERIC LAWSON 'MARLBORO' AFARIKI DUNIA AKIWA NA MIAKA 72

Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro enzi za uhai wake. MWIGIZAJI wa Marekani, Eric Lawson maarufu kwa jina la Marlboro baada ya kutokea katika matangazo ya sigara miaka ya 1970 amefariki kwa ugonjwa wa mapafu akiwa na umri wa miaka 72. Lawson alifariki Januari 10 mwaka huu akiwa nyumbani kwake San Luis Obispo kwa ugonjwa wa mapafu, kwa mujibu wa mkewe Susan Lawson. Lawson aliyeanza kuvuta sigara akiwa na umri wa miaka 14,...

 

10 years ago

Vijimambo

Tazama picha ya mfalme wa Saudi Arabia aliyefariki akiwa na wake zake 30.

Je wajua kua aliyekua mfalme wa Saudi Arabia mfalme Abdullah bin Abdulaziz alikua na wake 30?? na watoto wa kiume 45, Basi jibu ni ndio na hawa ni baadhi ya wake zake aliopiga nao picha ya pamoja. Mfalme Abdullah bin Abdulaziz alifariki tarehe 22 mwezi huu na nafasi yake imerithiwa na aliyekua mdogo wake.

 

10 years ago

Mtanzania

Mfalme wa Saudi Arabia afariki dunia

RIYADH, Saudi Arabia
MFALME wa Saudi Arabia, Abdullah bin Abdul-Aziz Al Saud (90), amefariki dunia jana na cheo chake kurithiwa mara moja na mdogo wake, Salman (79).
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la DW, Ofisi ya Kifalme haijataja sababu ya kifo cha Mfalme Abdullah, lakini habari zaidi zinadai kuwa kiongozi huyo alilazwa hospitali tangu Desemba mwaka jana kutokana na kusumbuliwa na homa ya mapafu ambapo kwa muda wote tangu akiwa hospitali alipumua kwa msaada wa mashine.
Mfalme Abdullah bin...

 

10 years ago

Mwananchi

Peter Kisumo afariki dunia

Muasisi wa Tanu na baadaye CCM, Mzee Peter Kisumo amefariki dunia.

 

10 years ago

Vijimambo

MZEE PETER KISUMO AFARIKI DUNIA

Muasisi wa Tanu na baadaye CCM, Mzee Peter Kisumo (pichani) amefariki dunia. Mwanasiasa huyo mkongwe nchini ambaye aliwahi kushika nyadhifa kadhaa katika Serikali ya Awamu ya Kwanza, alifariki Dunia jana saa moja usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.Mtoto wa marehemu, Michael Kisumo alilithibitishia juu ya kifo cha baba yake akisema kilitokana na maradhi ya figo ambayo yamekuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

“Tulikuja hapa Muhimbili kwa ajili ya mzee kufanyiwa dialysis (usafishaji damu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani