MWIGIZAJI MUNA OBIEKWE WA NIGERIA AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mlt2eWa4butuCKfV1w40KWPJkHTTbc9GA9CQij9UV4rpFuUoJrqg95BcQgq6B7Hrio-pm-HpoArGZ8OPjuhOJN/MUNA.jpg?width=650)
Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo. Vyanzo vilivyokuwa karibu na mwigizaji huyo, vinasema Muna alikuwa akipambana na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu kabla ya kumwambia rais wa chama cha waigizaji cha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM19 Jan
10 years ago
TheCitizen23 Jan
COVER: Nollywood mourns for Muna Obiekwe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mlt2eWa4butuCKfV1w40KWPJkHTTbc9GA9CQij9UV4rpFuUoJrqg95BcQgq6B7Hrio-pm-HpoArGZ8OPjuhOJN/MUNA.jpg?width=650)
MAZIKO YA MUNA OBIEKWE KUFANYIKA FEBRUARI 3, 2015
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mlt2eWa4butuCKfV1w40KWPJkHTTbc9GA9CQij9UV4rpFuUoJrqg95BcQgq6B7Hrio-pm-HpoArGZ8OPjuhOJN/MUNA.jpg?width=650)
MAMBO AMBAYO HUKUYAJUA KUHUSU STAA WA NOLLYWOOD ALIYEFARIKI, MUNA OBIEKWE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpHPXjb9JjjWbGdisDBWHgIYifsVgnM25*Qu5aKbbgfSOBSQKMkComghXTp0K3F-GaPuJO83UEyP4X1WCjVJzSFh/1.jpg)
MWIGIZAJI BOB HOSKINS AFARIKI DUNIA
10 years ago
Bongo519 Jan
Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYs2A1XXlgz8Qhy9XHSubICpmh3Wxiwb6nXFnsL0wogYVYdBhPJrNf5CxVy26RUSi4i8739AP8yEUkJvrOdxDnw/bloggerimage1866645765.jpg?width=534)
MWIGIZAJI NA SHOGA MAARUFU WA NOLLYWOOD NIGERIA AFARIKI GHAFLA
10 years ago
Mtanzania04 May
Peter Bunor afariki dunia Nigeria
BADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA wa filamu nchini Nigeria, Peter Bunor, amefariki dunia Mei mosi mwaka huu baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi.
Kupitia mitandao ya kijamii, mtoto wa marehemu Peter Bunor Jnr, alithibitisha kifo hicho kwa kuandika: “Baba yangu, rafiki yangu, mwalimu wangu amefariki dunia leo.”
Bunor alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa huo kwa muda mrefu, hata hivyo aliwahi kusema kuwa marafiki wake wa karibu wamemtelekeza.
Msanii huyo mwaka 2010 alipongezwa na kituo cha...
10 years ago
BBCSwahili04 Jun
Mwigizaji wa filamu ya Godzilla afariki