COVER: Nollywood mourns for Muna Obiekwe
>The passing of Nollywood actor Muna Obiekwe on Sunday came as a great shock both to Nigerians and the actor’s colleagues. The actor is said to have died of kidney failure in an undisclosed hospital in Lagos. According to a source close to the actor, Muna had been battling a renal related ailment but had kept it secret for a long time before informing the president of the Actors Guild of Nigeria, Ibinabo Fiberesima , who has since been in touch with him.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mlt2eWa4butuCKfV1w40KWPJkHTTbc9GA9CQij9UV4rpFuUoJrqg95BcQgq6B7Hrio-pm-HpoArGZ8OPjuhOJN/MUNA.jpg?width=650)
MAMBO AMBAYO HUKUYAJUA KUHUSU STAA WA NOLLYWOOD ALIYEFARIKI, MUNA OBIEKWE
KIFO cha staa wa Nollwood, Muna Obiekwe kimezua gumzo kwa watu wengi nchini Nigeria na wengine ambao wanafuatilia tasnia ya filamu nchini Nigeria, sasa kuna mambo kadhaa ambayo yawezekana ulikuwa huyajui kuhusu staa huyo aliyefariki kutokana na matatizo ya figo. Staa wa Nollwood, Muna Obiekwe enzi za uhai wake. Alikuwa muoga wa waandishi wa habari
Muna hakuwa tayari kujitokeza hadharani kuomba kuchangishiwa fedha kwa kuwa...
10 years ago
Bongo519 Jan
Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe
Waigizaji wa Nollywood na mastaa wengine wa Nigeria wametumia mitandao ya kijamii kuelezea kuhuzunishwa kwao na kifo cha ghafla cha muigizaji maarufu wa Nigeria, Muna Obiekwe. Marehemu Muna Obiekwe Staa huyo alifariki Jumapili, January 18, 2015 kutokana na kushindwa kufanya kazi kwa figo zake. Miongoni mwa waliotuma salamu zao za rambi rambi ni pamoja na […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mlt2eWa4butuCKfV1w40KWPJkHTTbc9GA9CQij9UV4rpFuUoJrqg95BcQgq6B7Hrio-pm-HpoArGZ8OPjuhOJN/MUNA.jpg?width=650)
MAZIKO YA MUNA OBIEKWE KUFANYIKA FEBRUARI 3, 2015
Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. RAIS wa chama cha waigizaji cha Nigeria (AGN), Ibinabo Fiberesima ametangaza ratiba kamili ya mazishi ya mwigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe. Muna alifariki dunia Januari 18, 2015 baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu. Ibinabo Fiberesima amesema maziko ya Muna yatafanyika Februari 3, mwaka huu katika eneo la Umudioka, Jimbo la Anambra...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9mlt2eWa4butuCKfV1w40KWPJkHTTbc9GA9CQij9UV4rpFuUoJrqg95BcQgq6B7Hrio-pm-HpoArGZ8OPjuhOJN/MUNA.jpg?width=650)
MWIGIZAJI MUNA OBIEKWE WA NIGERIA AFARIKI DUNIA
Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo. Vyanzo vilivyokuwa karibu na mwigizaji huyo, vinasema Muna alikuwa akipambana na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu kabla ya kumwambia rais wa chama cha waigizaji cha...
10 years ago
CloudsFM19 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/EfKVr4g08bc/default.jpg)
11 years ago
GPLHAPPY BIRTHDAY MUNA LOVE
Muna (kushoto), akimlisha keki kwa staili yake nduguye Mainda. Muna akikata keki tayari kwa kuwalisha waalikwa. Mainda (kulia)…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pJanJcsrIwGgZnlJ39bj1eH3odG0V0ICUW6FM5hvjnparZJn6mS6xov-UCY3S-ylqQNCwPvbhWG7Y411u3NuxulVDnbdJC3r/Kalala1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/EfKVr4g08bc/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania