Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EXCLUSIVE SONG: MUNA - KALALA JUNIOR

Mwanamuziki Kalala Junior .

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

KALALA JUNIOR NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Kalala Junior akipozi ndani ya Global TV Online. Kalala Junior akifanyiwa mahojiano na presenta, Pamela Daffa 'The Mic Queen'. Mwanamuziki mahiri wa Muziki wa Dansi kutoka Twanga Pepeta, Kalala Junior leo ametinga katika ofisi za Global Publishers na kufanya mahojiano ya nguvu na Global TV Online. Mwanamuziki huyo amefunguka kuhusu sababu zilizomuondoa Mapacha Watatu, bifu lake na Queen… ...

 

10 years ago

GPL

11 years ago

GPL

HAPPY BIRTHDAY MUNA LOVE

Muna (kushoto), akimlisha keki kwa staili yake nduguye Mainda. Muna akikata keki tayari kwa kuwalisha waalikwa. Mainda (kulia)…

 

10 years ago

TheCitizen

COVER: Nollywood mourns for Muna Obiekwe

>The passing of Nollywood actor Muna Obiekwe on Sunday came as a great shock both to Nigerians and the actor’s colleagues. The actor is said to have died of kidney failure in an undisclosed hospital in Lagos. According to a source close to the actor, Muna had been battling a renal related ailment but had kept it secret for a long time before informing the president of the Actors Guild of Nigeria, Ibinabo Fiberesima , who has since been in touch with him.

 

10 years ago

GPL

MAZIKO YA MUNA OBIEKWE KUFANYIKA FEBRUARI 3, 2015

Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. RAIS wa chama cha waigizaji cha Nigeria (AGN), Ibinabo Fiberesima ametangaza ratiba kamili ya mazishi ya mwigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe. Muna alifariki dunia Januari 18, 2015 baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu. Ibinabo Fiberesima amesema maziko ya Muna yatafanyika Februari 3, mwaka huu katika eneo la Umudioka, Jimbo la Anambra...

 

10 years ago

GPL

MWIGIZAJI MUNA OBIEKWE WA NIGERIA AFARIKI DUNIA

Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo. Vyanzo vilivyokuwa karibu na mwigizaji huyo, vinasema Muna alikuwa akipambana na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu kabla ya kumwambia rais wa chama cha waigizaji cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani