Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAZIKO YA MUNA OBIEKWE KUFANYIKA FEBRUARI 3, 2015

Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. RAIS wa chama cha waigizaji cha Nigeria (AGN), Ibinabo Fiberesima ametangaza ratiba kamili ya mazishi ya mwigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe. Muna alifariki dunia Januari 18, 2015 baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu. Ibinabo Fiberesima amesema maziko ya Muna yatafanyika Februari 3, mwaka huu katika eneo la Umudioka, Jimbo la Anambra...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

COVER: Nollywood mourns for Muna Obiekwe

>The passing of Nollywood actor Muna Obiekwe on Sunday came as a great shock both to Nigerians and the actor’s colleagues. The actor is said to have died of kidney failure in an undisclosed hospital in Lagos. According to a source close to the actor, Muna had been battling a renal related ailment but had kept it secret for a long time before informing the president of the Actors Guild of Nigeria, Ibinabo Fiberesima , who has since been in touch with him.

 

10 years ago

GPL

MWIGIZAJI MUNA OBIEKWE WA NIGERIA AFARIKI DUNIA

Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. HABARI kutoka Nigeria zimesema mwigizaji maarufu wa kiume wa sinema nchini humo, Muna Obiekwe, amefariki jana katika hospitali ya Festac, jijini Lagos, baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa figo. Vyanzo vilivyokuwa karibu na mwigizaji huyo, vinasema Muna alikuwa akipambana na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu kabla ya kumwambia rais wa chama cha waigizaji cha...

 

10 years ago

GPL

MAMBO AMBAYO HUKUYAJUA KUHUSU STAA WA NOLLYWOOD ALIYEFARIKI, MUNA OBIEKWE

KIFO cha staa wa Nollwood, Muna Obiekwe kimezua gumzo kwa watu wengi nchini Nigeria na wengine ambao wanafuatilia tasnia ya filamu nchini Nigeria, sasa kuna mambo kadhaa ambayo yawezekana ulikuwa huyajui kuhusu staa huyo aliyefariki kutokana na matatizo ya figo. Staa wa Nollwood, Muna Obiekwe enzi za uhai wake. Alikuwa muoga wa waandishi wa habari
Muna hakuwa tayari kujitokeza hadharani kuomba kuchangishiwa fedha kwa kuwa...

 

10 years ago

Bongo5

Van Vicker, Genevieve, Rita Dominic waomboleza kifo cha muigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe

Waigizaji wa Nollywood na mastaa wengine wa Nigeria wametumia mitandao ya kijamii kuelezea kuhuzunishwa kwao na kifo cha ghafla cha muigizaji maarufu wa Nigeria, Muna Obiekwe. Marehemu Muna Obiekwe Staa huyo alifariki Jumapili, January 18, 2015 kutokana na kushindwa kufanya kazi kwa figo zake. Miongoni mwa waliotuma salamu zao za rambi rambi ni pamoja na […]

 

10 years ago

Michuzi

Mkutano wa Trévo kufanyika hoteli ya Serena jijini Dar Februari 27, 2015

Karibu kwenye mkutano wa Trevo utakaifanyika Dar es salaam tarehe 27 Feb kuanzia SAA kumi jioni.kiingilio ni bure.Karibu kusikiliza fursa ya biashara toka kwa Mark Stevens ,mwanzilishi wa Trévo . Kutakuwa na mkutano pia mkiani Arusha tarehe 28 Feb

 

10 years ago

Michuzi

SHUKRAN KWA WOTE KUTOKA KWA WAHUSIKA WA MAZIKO YA MAREHEMU MUNA YALIYOTOKEA MILTON KEYNES, UK

Assalaam alaykum Dear brothers & sisters, Once again l would like to give thanks to everyone in the community who offered their support to Br Muna’s family and friends in many ways so our dearest FRIEND & BROTHER can rest in peace, ameen.I would like to give special thanks to the MKMA team who worked tirelessly to ensure everything went according to plan. I would also like to personally thank Brother Ami Salim who held our hands from the beginning to the end of the funeral process.  May...

 

11 years ago

Mwananchi

Maziko ya Bwanamdogo kufanyika Bagamoyo leo

Mbunge wa Chalinze, Said Bwanamdogo anazikwa leo kijijini kwake, Miono Bagamoyo, maziko yanayotarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa chama na Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani