Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHUKRAN KWA WOTE KUTOKA KWA WAHUSIKA WA MAZIKO YA MAREHEMU MUNA YALIYOTOKEA MILTON KEYNES, UK

Assalaam alaykum Dear brothers & sisters, Once again l would like to give thanks to everyone in the community who offered their support to Br Muna’s family and friends in many ways so our dearest FRIEND & BROTHER can rest in peace, ameen.I would like to give special thanks to the MKMA team who worked tirelessly to ensure everything went according to plan. I would also like to personally thank Brother Ami Salim who held our hands from the beginning to the end of the funeral process.  May...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBC News

Coronavirus: Man and woman in 90s die at Milton Keynes Hospital

Coronavirus: Man and woman in 90s die at Milton Keynes Hospital  BBC NewsCoronavirus: Two patients die at same hospital overnight after testing positive  Mirror OnlineA city's coronavirus story: How Milton Keynes is coping with the crisis  Milton Keynes CitizenCoronavirus kills two more patients in Milton Keynes as death toll surges  Daily StarTwo more deaths related to COVID-19 confirmed at Milton Keynes Hospital  MKFMView Full coverage on Google...

 

10 years ago

GPL

MAZIKO YA MUNA OBIEKWE KUFANYIKA FEBRUARI 3, 2015

Mwigizaji Muna Obiekwe enzi za uhai wake. RAIS wa chama cha waigizaji cha Nigeria (AGN), Ibinabo Fiberesima ametangaza ratiba kamili ya mazishi ya mwigizaji wa Nollywood, Muna Obiekwe. Muna alifariki dunia Januari 18, 2015 baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo ambayo alikuwa ameyafanya siri kwa muda mrefu. Ibinabo Fiberesima amesema maziko ya Muna yatafanyika Februari 3, mwaka huu katika eneo la Umudioka, Jimbo la Anambra...

 

10 years ago

Michuzi

Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita

 Nimeshtushwa sana na kifo cha Kiongozi huyu mashuhuri aliyechangia kwa dhati harakati za ukombozi wa Bara la Afrika. Nimehuzunishwa mno, mimi Binafsi, Familia yangu na nina imani msiba huu mzito sio wa Watanzania peke yao, bali ni wa Bara zima la Afrika kwa ujumla. Katika harakati za kumzika kiongozi huyo, sitokuwepo kwa kuwa niko safarini lakini nitawakilishwa na wanangu wakiongozwa na Dkt Hussein. Kwa Mola tumetoka na kwake Mola sote tutarejea. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA MAZIKO YA MAREHEMU SPIKA MSTAAFU WA BARAZA LA WAWAKILISHI MAREHEMU ALI KHAMIS ABDALLAH

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akishiriki katika kumswalia Marehemu Ali Khamis Abdallah, Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,  katika Masjid Makhfoudh ulioko Mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar jana Makamanda wa jeshi la Polisi Zanzibar wakilibeba jeneza la Marehemu Ali Khamis  Abdalla Spika mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar aliyezikwa Fuoni jana,maziko yake yaliyoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la...

 

11 years ago

GPL

KUTOKA MSIBANI KWA MAREHEMU MZEE SMALL TABATA

  Mke wa marehemu Mzee Small, Bi. Fatuma Said akiwa na simanzi nzito.   Wasani Jumanne Shabaan 'Made Matata', Mbembe (katikati) na Habib Mrisho 'Sumaku' (kulia) wakijadiliana jambo msibani.…

 

10 years ago

Vijimambo

Ratiba ya mazishi ya Robert kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye familia ya marehemu


1. Marehemu atazikwa siku ya Jumatatu tarehe 5 Januari, 2015 katika makaburi ya Kinondoni hapa Dar es salaam kuanzia saa 10 jioni.2. Ibada na kutoa heshima za mwisho kwa marehemu vitafanyika katika Kanisa la Kienjili la Kilutheri lililopo Msasani karibu na Hospitali ya CCBRT. Ibada itaanza itaanza saa 8 kamili mchana.3. Safari ya kupeleka mwili kanisani itaanzia nyumbani kwa marehemu katika nyumba za wafanyakazi Mbezi Beach saa 6 mchana. Safari itaanza baada ya waombolezaji...

 

10 years ago

Vijimambo

TAHADHARI KWA WAHUSIKA


Kampuni ya Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Wataalam wote

Tahadhari kwa wafanyakazi wote

Tahadhari kwa Mr. Rajen Kilachand, Mwenyekiti wa Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Dr. Jogendra Nath Sahu; Dodsal Group Dar es Salaam

Kampuni ya Milembe Co. Ltd

Kwa yeyote anayejijua anahusika moja kwa moja au kusaidia.


Jina langu ni Askofu Charles Gadi, Mtumishi wa Mungu aliye Hai.


Kwa maovu yenu, natangaza kuwa ninyi wenyewe mmenifanya Mungu wenu na kwamba uovu wenu huu mlioufanya kwenye shamba langu sitahitaji...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI: WATANZANIA NA WAGENI WATAKAOINGIA NCHINI KUTOKA NCHI ZILIZOATHIRIWA NA CORONA WOTE KUJITENGA SIKU 14 KWA GHARAMA ZAO.

Rais Dk. John Magufuli akihutubia Taifa katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma leo Machi 22, 2020

IKULU, Chamwino, Dodoma
Rais Dk. John Magufuli leo ametangaza hatua nyingine ili za kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Coron

Rais Dk. John Magufuli amesema kuanzia kesho wasafiri wote watakaoingia nchini kutoka katika mataifa yaliyoathirika zaidi na ugonjwa wa Corona, watalazimika kufikia sehemu za kujitenga kwa siku 14 kwa gharama zao wenyewe.

Akihutubia taifa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani