Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ratiba ya mazishi ya Robert kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye familia ya marehemu


1. Marehemu atazikwa siku ya Jumatatu tarehe 5 Januari, 2015 katika makaburi ya Kinondoni hapa Dar es salaam kuanzia saa 10 jioni.2. Ibada na kutoa heshima za mwisho kwa marehemu vitafanyika katika Kanisa la Kienjili la Kilutheri lililopo Msasani karibu na Hospitali ya CCBRT. Ibada itaanza itaanza saa 8 kamili mchana.3. Safari ya kupeleka mwili kanisani itaanzia nyumbani kwa marehemu katika nyumba za wafanyakazi Mbezi Beach saa 6 mchana. Safari itaanza baada ya waombolezaji...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA KUAGA MWILI LEO NA MAZISHI YA ROBERT VICTOR LENGEJU

Familia ya Lengeju wa Kipera Mkoani Morogoro na Dar es Salaam inapenda kuwatangazia ndugu jamaa na marafiki wote wa marehemu ROBERT VICTOR LENGEJU na Familia ya LENGEJU kuwa kijana wao mpenda aliyefikwa na umauti Novemba 10, 2014 katika Hospitali ya TMJ baada ya kuugua kwa muda mfupi anataraji kuzikwa kesho Alhamisi nyumbani kwao Kijiji cha Kipera, Kata na Tarafa ya Mlali Wilayani Mvomero mkoa wa Morogoro.
Kipera ipo mbele kidogo ya Chuo Kikuu cha Mzumbe.
Mwili wa marehemu ROBERT LENGEJU,...

 

10 years ago

Michuzi

Ratiba ya Mazishi Marehemu Dkt. William Shija

Marehemu Dkt. William Shija.

 

11 years ago

Michuzi

Ratiba ya Mazishi ya MArehemu Mzee Augustine Cassian Mwingira

Familia ya Marehemu Mzee Augustine Cassian Mwingira kutoka Mjimwema, Kigamboni inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa wao, mzee Augustine Cassian Mwingira kilichotokea Jumanne, 27 Mei 2014 ktk Hospital ya Hindu Mandal alipolazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msiba upo Nyumbani kwa Marehemu Mjimwema, Kigamboni "Kwa Mwingira".  Ratiba ya Mazishi ni kama ifuatavyo; Ijumaa, 30 Mei 2014 Saa 10 Jioni - Mwili wa Marehemu kuwasili Nyumbani kwake Maweni - Mjimwema, Kigamboni.  saa  11 jioni -...

 

10 years ago

Michuzi

Salam za Rambirambi kutoka kwa Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa Familia ya Marehemu Brigedia Hashim Mbita

 Nimeshtushwa sana na kifo cha Kiongozi huyu mashuhuri aliyechangia kwa dhati harakati za ukombozi wa Bara la Afrika. Nimehuzunishwa mno, mimi Binafsi, Familia yangu na nina imani msiba huu mzito sio wa Watanzania peke yao, bali ni wa Bara zima la Afrika kwa ujumla. Katika harakati za kumzika kiongozi huyo, sitokuwepo kwa kuwa niko safarini lakini nitawakilishwa na wanangu wakiongozwa na Dkt Hussein. Kwa Mola tumetoka na kwake Mola sote tutarejea. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani