Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA YA MAZISHI YA MAREHEMU GEORGE LIUNDI LEO JANUARI 16, 2014

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI WA MAREHEMU GEORGE LIUNDI KARIMJEE JIJINI DAR

Rais Jakaya Kikwete akiwasili Viwanja vya Karimjee kuaga mwili wa marehemu George Liundi. Jeneza lenye mwili wa marehemu Bakari George Liundi likiwa mbele ya waombolezaji.…

 

10 years ago

Michuzi

Ratiba ya Mazishi Marehemu Dkt. William Shija

Marehemu Dkt. William Shija.

 

11 years ago

Michuzi

Ratiba ya Mazishi ya MArehemu Mzee Augustine Cassian Mwingira

Familia ya Marehemu Mzee Augustine Cassian Mwingira kutoka Mjimwema, Kigamboni inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa wao, mzee Augustine Cassian Mwingira kilichotokea Jumanne, 27 Mei 2014 ktk Hospital ya Hindu Mandal alipolazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msiba upo Nyumbani kwa Marehemu Mjimwema, Kigamboni "Kwa Mwingira".  Ratiba ya Mazishi ni kama ifuatavyo; Ijumaa, 30 Mei 2014 Saa 10 Jioni - Mwili wa Marehemu kuwasili Nyumbani kwake Maweni - Mjimwema, Kigamboni.  saa  11 jioni -...

 

11 years ago

Michuzi

Ratiba ya mazishi ya marehemu mzee john fedha macha dar es salaam na moshi

Mazishi ya Mzee John Fedha Macha (pichani), Mfanyabiashara maarufu na mmiliki wa Bamboo Bar ya Kinondoni (jirani na makaburi ya Kinondoni)  jijini Dar es salaam, ambaye alifariki dunia Jumatatu Julai 21,  2014 katika hospitali ya TMJ Mikocheni alikokuwa akitibiwa, yanatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa Julai 25, 2014 kijijini kwake Kirua Vunjo, Moshi, mkoani Kilimanjaro. Kwa mujibu wa ratiba iliyopatikana na Globu ya Jamii, Shughuli za kuaga mwili wa marehemu zitafanyika nyumbani kwake...

 

10 years ago

Vijimambo

Ratiba ya mazishi ya Robert kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye familia ya marehemu


1. Marehemu atazikwa siku ya Jumatatu tarehe 5 Januari, 2015 katika makaburi ya Kinondoni hapa Dar es salaam kuanzia saa 10 jioni.2. Ibada na kutoa heshima za mwisho kwa marehemu vitafanyika katika Kanisa la Kienjili la Kilutheri lililopo Msasani karibu na Hospitali ya CCBRT. Ibada itaanza itaanza saa 8 kamili mchana.3. Safari ya kupeleka mwili kanisani itaanzia nyumbani kwa marehemu katika nyumba za wafanyakazi Mbezi Beach saa 6 mchana. Safari itaanza baada ya waombolezaji...

 

10 years ago

Michuzi

RATIBA YA MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE VITI MAALUMU MAREHEMU MARIAM SALUM MFAKI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

BUNGE LA TANZANIA

  Kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Marehemu Mariam Salum Mfaki kilichotokea jana tarehe 21 Julai 2015 Saa Nne Asubuhi katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma alikokuwa amelazwa kwa matibabu, Ofisi ya Bunge kwa kushirikiana na familia yake tunapenda kutoa taarifa ya shughuli ya mazishi kama ifuatavyo:
Ratiba ya Mazishi itaanza saa Tisa Alasiri kwa Mwili wa Marehemu kuondolewa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kuelekea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani