Ratiba ya Mazishi ya MArehemu Mzee Augustine Cassian Mwingira

Familia ya Marehemu Mzee Augustine Cassian Mwingira kutoka Mjimwema, Kigamboni inasikitika kutangaza kifo cha mpendwa wao, mzee Augustine Cassian Mwingira kilichotokea Jumanne, 27 Mei 2014 ktk Hospital ya Hindu Mandal alipolazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Msiba upo Nyumbani kwa Marehemu Mjimwema, Kigamboni "Kwa Mwingira".
Ratiba ya Mazishi ni kama ifuatavyo;
Ijumaa, 30 Mei 2014
Saa 10 Jioni - Mwili wa Marehemu kuwasili Nyumbani kwake Maweni - Mjimwema, Kigamboni.
saa 11 jioni -...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Ratiba ya mazishi ya marehemu mzee john fedha macha dar es salaam na moshi

10 years ago
Vijimambo
11 years ago
GPL
11 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
5 years ago
Michuzi
MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU AMEMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MAREHEMU BALOZI AUGUSTINE MAHIGA MKOANI IRIBGA

10 years ago
Vijimambo03 Jan
Ratiba ya mazishi ya Robert kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye familia ya marehemu

10 years ago
Michuzi22 Jul
RATIBA YA MAZISHI YA ALIYEKUWA MBUNGE VITI MAALUMU MAREHEMU MARIAM SALUM MFAKI
Ratiba ya Mazishi itaanza saa Tisa Alasiri kwa Mwili wa Marehemu kuondolewa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kuelekea...