Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAHADHARI KWA WAHUSIKA


Kampuni ya Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Wataalam wote

Tahadhari kwa wafanyakazi wote

Tahadhari kwa Mr. Rajen Kilachand, Mwenyekiti wa Dodsal Group Dubai

Tahadhari kwa Dr. Jogendra Nath Sahu; Dodsal Group Dar es Salaam

Kampuni ya Milembe Co. Ltd

Kwa yeyote anayejijua anahusika moja kwa moja au kusaidia.


Jina langu ni Askofu Charles Gadi, Mtumishi wa Mungu aliye Hai.


Kwa maovu yenu, natangaza kuwa ninyi wenyewe mmenifanya Mungu wenu na kwamba uovu wenu huu mlioufanya kwenye shamba langu sitahitaji...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SHUKRAN KWA WOTE KUTOKA KWA WAHUSIKA WA MAZIKO YA MAREHEMU MUNA YALIYOTOKEA MILTON KEYNES, UK

Assalaam alaykum Dear brothers & sisters, Once again l would like to give thanks to everyone in the community who offered their support to Br Muna’s family and friends in many ways so our dearest FRIEND & BROTHER can rest in peace, ameen.I would like to give special thanks to the MKMA team who worked tirelessly to ensure everything went according to plan. I would also like to personally thank Brother Ami Salim who held our hands from the beginning to the end of the funeral process.  May...

 

10 years ago

Mwananchi

Wataka hatua za kisheria kwa wahusika

Wasomi, wanasiasa na wanaharakati wametaka hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa wote waliohusika na uchotwaji wa fedha katika akaunti ya escrow.

 

9 years ago

StarTV

Uchafuzi Wa Mazingira Mwanza Hatua kali kuchukuliwa kwa wahusika

Kamati ya usafi wa mazingira ya Pasiansi Mashariki imeitaka halmashauri ya jiji la Mwanza kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wale wote wanaohusika kuchafua mazingira na kuhatarisha maisha ya watu.

Ni kutokana na kuwepo kwa baadhi ya watu ambao wanadaiwa kutiririsha maji taka na vinyesi katika mitaro inayotiririshamaji kuelekea katika Ziwa Viktoria.

Haya yanajiri katika ziara ya kushtukiza iliyofanywa na diwani wa kata ya Kawekamo wilayani Ilemela jijini Mwanza Japhesi Joel pamoja na kamati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kwa madereva kona za Iyovi ni kali sana, endesha kwa umakini kuepusha ajali

 Wewe  ni  dereva  wa basi la abiria ama  gari  binafsi ?hebu  chukua  hatua ya  kupunguza ajali  leo kwa kujihadhari na  kona  hizi na Iyovi na Kitonga na  kona  nyingine kali kama  hizi nchini kwani maisha  yako ni  dhamani  kubwa na uhai  wake bado tunautamani.

 Vema  kuheshimu alama  za barabarani na  kuacha mbwembwe  uwapo  barabarani katika kona kali kama hizi.

 Katika kona kama hizi zingatia  alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele.

Kulipita gari la ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kwa wanawake kwa mtu huyu!

DSCN9777 (1)

Pichani Malaria akiwa amejipumzisha kwenye kibaraza cha maeneo ya ofisi za Idara ya Habari Maelezo kama alivyokutwa na mpiga picha wetu.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Hali ya sintofahamu juu ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Malaria’,  imezidi kuwa kero kwa baadhi ya watu ikiwemo wanawake kwa mtu huyo kuwafanyia vitendo vya kidhalilishaji  kwa kuwashika sehemu  nyeti, na baada ya hapo kukimbia ama humtisha kwa lengo la kutaka kumpiga aliyemfanyia kitendo hicho.

Kwa siku kadhaa,...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA

Habari na picha na Editha Karlo, wa Globu ya Jamii Kigoma

MTU mmoja ambaye ni raia kutoka nchi ya Burundi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Kigoma  kwa ugonjwa usiojulikana. 
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni  kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kwa wasiopenda mazoezi

Je ulijua kama watu wengi barani Ulaya wanakufa kwa kukosa kufanya mazoezi ikilinganishwa na idadi ya watu wanaokufa kutokana na ugonjwa wa kisukari?

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kwa waraibu wa Internet

Kijana mmoja mwenye mienendo ya kustaajabisha nchini Uingereza, alipiga simu kwa polisi baada ya kumchinja mwenzake mwenye umri wa miaka 14 ambaye walifahamiana tu kupitia mtandao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kwa wanaume Kenya

Wanaume wanaowatelekeza watoto wao wakati wenyewe wana kazi za kuwawzesha kukimu maisha yao wawe macho maana wameanza kuanikwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani