Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari kwa wasiopenda mazoezi

Je ulijua kama watu wengi barani Ulaya wanakufa kwa kukosa kufanya mazoezi ikilinganishwa na idadi ya watu wanaokufa kutokana na ugonjwa wa kisukari?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu

NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...

 

11 years ago

Habarileo

'Wasiopenda Muungano hawana sababu'

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Evod Mmanda amesema licha ya changamoto nyingi zinazoukabili muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuna haja ya kukaa pamoja na kutatua changamoto hizo ili kwenda pamoja. Mmanda ambaye ni mjumbe wa Sekretarieti ya kutengeneza kanuni za Bunge Maalumu, alisema hayo wakati wa mahojiano Mjini Dodoma. Alisema miaka 50 ya Muungano ni faraja na jambo la kujivunia.

 

11 years ago

GPL

SHILOLE AWASHANGAA WASIOPENDA ‘MAKUFULI’

STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa huwa anawashangaa wasichana wasiopenda kujisitiri kwa kuvaa nguo za ndani ‘makufuli’. Zuwena Mohamed ‘Shilole’ Akistorisha na paparazi wetu, Shilole alisema katika maisha yake anapenda sana kujisitiri kwa kuvaa nguo ya ndani hivyo anawashangaa wasanii wanaotembea bila kuvaa nguo hiyo huku wengine wakidai wakizivaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mazoezi kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji

Wanawake wengi wanaojifungua kwa upasuaji, hukumbana na changamoto kubwa ya kurudisha miili yao katika hali ya kawaida. Hali hii husababishwa na muda wa kuuguza kidonda na hofu ya kujitonesha

 

11 years ago

BBCSwahili

Vikwazo kwa mazoezi Bujumbura

Meya wa jiji la Bujumbura Said Juma, ametoa amri inayokataza watu wengi kufanya mazoezi kwenye barabara za mji huo sharti upate idhini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kwa madereva kona za Iyovi ni kali sana, endesha kwa umakini kuepusha ajali

 Wewe  ni  dereva  wa basi la abiria ama  gari  binafsi ?hebu  chukua  hatua ya  kupunguza ajali  leo kwa kujihadhari na  kona  hizi na Iyovi na Kitonga na  kona  nyingine kali kama  hizi nchini kwani maisha  yako ni  dhamani  kubwa na uhai  wake bado tunautamani.

 Vema  kuheshimu alama  za barabarani na  kuacha mbwembwe  uwapo  barabarani katika kona kali kama hizi.

 Katika kona kama hizi zingatia  alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele.

Kulipita gari la ...

 

5 years ago

Mwananchi

UMUHIMU WA MAZOEZI YA YOGA KWA AFYA- 2

Tumalize mada ya Yoga. Kama ilikupita wiki jana tulidokeza aina mbili za mazoezi. Ya haraka, kuhema na jasho; kujenga ukakamavu, misuli, punguza mafuta, nk yaani “Cardio Vascular” inayotokana na moyo. Mtu anaposhtuka moyo akafariki dunia waganga husema “cardiac arrest.” Mifano ni riadha, soka, kuogelea, ndondi nk.

 

10 years ago

Mwananchi

Mazoezi kwa ajili ya afya ya mifupa

Kama ilivyo misuli ya mwili, mifupa nayo ni tishu zenye uhai zinazofaidika kwa mazoezi ya mwili. Mazoezi huimarisha mifupa na kuifanya iwe na nguvu, iwe na umbo zuri pamoja na ujazo mzuri.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kwa wanawake kwa mtu huyu!

DSCN9777 (1)

Pichani Malaria akiwa amejipumzisha kwenye kibaraza cha maeneo ya ofisi za Idara ya Habari Maelezo kama alivyokutwa na mpiga picha wetu.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Hali ya sintofahamu juu ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Malaria’,  imezidi kuwa kero kwa baadhi ya watu ikiwemo wanawake kwa mtu huyo kuwafanyia vitendo vya kidhalilishaji  kwa kuwashika sehemu  nyeti, na baada ya hapo kukimbia ama humtisha kwa lengo la kutaka kumpiga aliyemfanyia kitendo hicho.

Kwa siku kadhaa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani