SHILOLE AWASHANGAA WASIOPENDA ‘MAKUFULI’
![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIFHQyZylkYcMCuHH31FUUwItOYKKSZGwvyJ9zYG*-FdUgjpJlxW4qW9TLB*hEbdtAPAwFm4iSoOxGnEk-8bfhpZ/SHILOLE.jpg?width=650)
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa huwa anawashangaa wasichana wasiopenda kujisitiri kwa kuvaa nguo za ndani ‘makufuli’. Zuwena Mohamed ‘Shilole’ Akistorisha na paparazi wetu, Shilole alisema katika maisha yake anapenda sana kujisitiri kwa kuvaa nguo ya ndani hivyo anawashangaa wasanii wanaotembea bila kuvaa nguo hiyo huku wengine wakidai wakizivaa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Mar
'Wasiopenda Muungano hawana sababu'
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Evod Mmanda amesema licha ya changamoto nyingi zinazoukabili muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuna haja ya kukaa pamoja na kutatua changamoto hizo ili kwenda pamoja. Mmanda ambaye ni mjumbe wa Sekretarieti ya kutengeneza kanuni za Bunge Maalumu, alisema hayo wakati wa mahojiano Mjini Dodoma. Alisema miaka 50 ya Muungano ni faraja na jambo la kujivunia.
10 years ago
BBCSwahili15 Jan
Tahadhari kwa wasiopenda mazoezi
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Mtatiro: Tutavunja makufuli
MGOMBEA ubunge wa Segerea, Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro amesema atahakikisha wanavunja makufuli yote.
“ Naombeni wananchi tuseme Magufuli…no, in one…kwa miaka yote katika jimbo hili hakuna huduma muhimu ya maji, miundombinu..iwe jua au mvua barabara hazipitiki bado CCM wanataka tuwapeleke Ikulu haiwezekani,”alisema Mtatiro.
Alisema mgombea urais wa CCM, Dk. John Magufuli alikuwa wizara inayoshughulika na ujenzi lakini matokeo yake ameshindwa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar28 Aug
10 years ago
Habarileo01 Apr
Kesi ya Minja leo, makufuli yaendelea
MADUKA mengi ya Kariakoo, Dar es Salaam na baadhi yaliyopo mikoani yameendelewa kufungwa huku wenye maduka wakidai hawatafungua leo wala kesho.
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Magufuli : Nitawafunga mafisadi kwa makufuli
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dboIRMmfKpTVtE37JfIgwxi8xd-WxRQN4YAMxw4L2rGol63tBdSPVHN2utcOG10T8HxZqCroR96vCxPKvJ8sziW/aibu.jpg?width=650)
MREMBO ANASWA KWA WIZI WA ‘MAKUFULI’...