Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


'Wasiopenda Muungano hawana sababu'

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Evod Mmanda amesema licha ya changamoto nyingi zinazoukabili muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuna haja ya kukaa pamoja na kutatua changamoto hizo ili kwenda pamoja. Mmanda ambaye ni mjumbe wa Sekretarieti ya kutengeneza kanuni za Bunge Maalumu, alisema hayo wakati wa mahojiano Mjini Dodoma. Alisema miaka 50 ya Muungano ni faraja na jambo la kujivunia.

habarileo

Read more


Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani