UMUHIMU WA MAZOEZI YA YOGA KWA AFYA- 2
Tumalize mada ya Yoga. Kama ilikupita wiki jana tulidokeza aina mbili za mazoezi. Ya haraka, kuhema na jasho; kujenga ukakamavu, misuli, punguza mafuta, nk yaani “Cardio Vascular†inayotokana na moyo. Mtu anaposhtuka moyo akafariki dunia waganga husema “cardiac arrest.†Mifano ni riadha, soka, kuogelea, ndondi nk.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSOMO LA YOGA: Ulaji Nyama, Afya na Sanaa ya Yoga
Je! Ni kawaida asili ya mwanaadam kuwa nakula nyama? Kufuatana na mafunzo ya sanaa ya Yoga, inashauri sana kuepuka madhara yanayosababishwa na athari ya kula nyama ambayo ni mjadala mrefu na uanaleta hoja nyingi katika maisha ya mfumo mzima wa sanaa hiyo.
Leo, kama tunajiandaa kuelekea mwaka mpya 2016 na malengo mapya, basi moja ya ushauri na mazungumzo ni kufahamishana na kuhusu mambo kazaa ya sanaa ya Yoga na uhusiano wake wa kutokula nyama kiafya.
Mfumo wa kuchanganya...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Zijuwe Faida za Mazoezi ya Yoga
Na Sensei Rumadha Fundi Kama mtaalam wa sanaa ya Yoga au Acharya (Yoga Teacher), Rumadha (Rasadeva) alihitimu na kutunukiwa Diploma ya kufuzu sanaa hiyo mwaka 1987, toka katika chuo cha "College of Neohumanist Studies", Ydrefors, Sweden, na hatimae baada ya kumaliza kozi hiyo kwenda Culcutta, India kwa mafunzo maalum ya kuthibitiwa kama mwalimu wa sanaa hiyo. Pia Rumadha ni mwalimu wa sanaa ya Karate. Mwaka 1991 alitunukiwa cheo cha juu cha sanaa ya Yoga duniani kiitwacho " Avadhuta" huko...
10 years ago
Mwananchi19 Jun
Mazoezi kwa ajili ya afya ya mifupa
Kama ilivyo misuli ya mwili, mifupa nayo ni tishu zenye uhai zinazofaidika kwa mazoezi ya mwili. Mazoezi huimarisha mifupa na kuifanya iwe na nguvu, iwe na umbo zuri pamoja na ujazo mzuri.
10 years ago
Michuzi
Tambua Fursa ya Biashara na Umuhimu wa Trevo kwa Afya Yako

10 years ago
VijimamboMWALIMU WA YOGA NA KARATE WA KIMATAIFA RUMADHA FUNDI AZICHAMBUA FAIDA ZA YOGA
Mara nyingi neno”Meditation” au kutafakari huchanganywa na kufikiri ni kukaa kimya kufumba macho kiufanisi au kuwaza jambo fulani. Pia, wengine huchanganya hili neno na kuwa umekaa kimya na kujaribu kutofikiria lolote, ama pia kuivuta au kuisukuma akili yako na kutoku fikiria kitu cha iana yeyote ile muda wote wa kutafakari na kuamini kwamba hiyo ni “Meditation” au Tafakari. Kamwe, hamna hata moja ya mifano hii inaweza kuifikia maana yake halisi katika mfumo kisayansi na...
10 years ago
Michuzi
MWALIMU WA YOGA NA KARATE WA KIMATAIFA SENSEI RUMADHA FUNDI AZICHAMBUA FAIDA ZA YOGA
Na Sensei Rumadha FundiMara nyingi neno”Meditation” au kutafakari huchanganywa na kufikiri ni kukaa kimya kufumba macho kiufanisi au kuwaza jambo fulani. Pia, wengine huchanganya hili neno na kuwa umekaa kimya na kujaribu kutofikiria lolote, ama pia kuivuta au kuisukuma akili yako na kutoku fikiria kitu cha iana yeyote ile muda wote wa kutafakari na kuamini kwamba hiyo ni “Meditation” au Tafakari. Kamwe, hamna hata moja ya mifano hii inaweza kuifikia maana yake halisi katika mfumo kisayansi...
10 years ago
Mwananchi14 Jun
Tumeanza kuona umuhimu wa mazoezi lakini tusiparamie bila mpango
Taratibu wimbi la kupunguza unene, kuboresha afya na haiba linashika moto, Afrika. Vijana wanainua vyuma ndani ya ma- Gym; wanawake kwa wanaume wanakimbia na kutafuta wakufunzi. Watanzania wanauliza maswali kuhusu mazoezi kutaka kufahamu la ziada.
9 years ago
Michuzi
RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)
NA MWANDISHI WETU,TANGA.
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...
10 years ago
MichuziMAZOEZI YANAJENGA AFYA — IGP MANGU
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania