Tumeanza kuona umuhimu wa mazoezi lakini tusiparamie bila mpango
Taratibu wimbi la kupunguza unene, kuboresha afya na haiba linashika moto, Afrika. Vijana wanainua vyuma ndani ya ma- Gym; wanawake kwa wanaume wanakimbia na kutafuta wakufunzi. Watanzania wanauliza maswali kuhusu mazoezi kutaka kufahamu la ziada.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Mwananchi27 Feb
UMUHIMU WA MAZOEZI YA YOGA KWA AFYA- 2
11 years ago
Mwananchi21 Aug
Inatia aibu kuona nchi ina rasilimali lukuki lakini maskini
10 years ago
GPL
DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?
10 years ago
StarTV14 Aug
Taifa Stars yaanza mazoezi bila wachezaji wa Yanga, Azamfc.
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.
Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Hisani...
10 years ago
MichuziBUNGE LAANDAA SEMINA MAALUMU KUHUSU UMUHIMU WA KUWA NA MPANGO MKAKATI WA MAWASILIANO NA NAMNA BORA YA KUPOKEA MAONI YA WADAU WAKATI WA KAMATI ZAKE
10 years ago
Bongo526 Apr
Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!
10 years ago
Bongo510 Sep
Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia
10 years ago
Habarileo18 Oct
JK: Tumeanza safari ya uhakika michezoni
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete jana alizindua rasmi kituo cha kuendeleza vipaji vya watoto Kidongo Chekundu, Dar es Salaam na kusema safari ya uhakika ya kuendeleza vipaji kwa watoto imeanza.