Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tumeanza kuona umuhimu wa mazoezi lakini tusiparamie bila mpango

Taratibu wimbi la kupunguza unene, kuboresha afya na haiba linashika moto, Afrika. Vijana wanainua vyuma ndani ya ma- Gym; wanawake kwa wanaume wanakimbia na kutafuta wakufunzi. Watanzania wanauliza maswali kuhusu mazoezi kutaka kufahamu la ziada.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Mwananchi

UMUHIMU WA MAZOEZI YA YOGA KWA AFYA- 2

Tumalize mada ya Yoga. Kama ilikupita wiki jana tulidokeza aina mbili za mazoezi. Ya haraka, kuhema na jasho; kujenga ukakamavu, misuli, punguza mafuta, nk yaani “Cardio Vascular” inayotokana na moyo. Mtu anaposhtuka moyo akafariki dunia waganga husema “cardiac arrest.” Mifano ni riadha, soka, kuogelea, ndondi nk.

 

11 years ago

Mwananchi

Inatia aibu kuona nchi ina rasilimali lukuki lakini maskini

Kwa miaka mingi sekta ya kilimo hapa nchini imekuwa ikitajwa kuwa na mchango mkubwa katika kutoa ajira hapa nchini.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?

.KWAKO mkali wao katika anga la Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Mambo vipi mzazi jembe? Hongera sana kwa ushindi mnono ulioupata hivi karibuni katika Tuzo za MTV EMA 2015 jijini Milan Italy, umezidi kuliletea taifa letu heshima. Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima. Namshukuru Mungu naendelea kupambana na kazi zangu kama kawaida ili mkono uende kinywani.Nimekukumbuka leo kwa barua kwani kuna jambo nataka nikushauri....

 

10 years ago

StarTV

Taifa Stars yaanza mazoezi bila wachezaji wa Yanga, Azamfc.

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kimeanza mazoezi katika uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.
Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Hisani...

 

10 years ago

Michuzi

BUNGE LAANDAA SEMINA MAALUMU KUHUSU UMUHIMU WA KUWA NA MPANGO MKAKATI WA MAWASILIANO NA NAMNA BORA YA KUPOKEA MAONI YA WADAU WAKATI WA KAMATI ZAKE

  Mkurugennzi msaidizi katika Idara ya Kamati kutoka Ofisi ya Bunge Ndg. Angumbwike Ng'wavi akitoa Mada kuhusu umuhimu kuwa na taarifa za  pamoja za kibunge kwa ajili ya wadau mbalimbali wa Bunge  na namna ya utekelezaji wake wakati wa Semina ya kuwajengea uwezo wadau wa Bunge kutoka Serikarini na taasisi binafisi. Semina hiyo imeandaliwa na Bunge kupitia mradi wake wa kuwajengea Wabunge na Watumishi uwezo unaofadhiliwa na UNDP.  Maafisa wa Serikali pamoja na Wadau mbalimbali wa Bunge...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C: Nimenenepa lakini kiuno bila mfupa kiko pale pale!

Rehema Chalamila aka Ray C amewatoa hofu mashabiki wa muziki wake, kuwa unene wake haujakiathiri kiuno chake bila mfupa bali kimemwongezea uwezo wa kukatika kuliko zamani! Ray C ambaye alitamba na nyimbo kama ‘Sikuhitaji’ na ‘Umeniacha’, ameiambia Global TV kuwa anahisi uwezo wake wa kukatika umeongezeka zadii kutokana na unene. “Sina tofauti na Ray C […]

 

10 years ago

Bongo5

Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C

Sio mara ya kwanza kwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C kulalamika kuhusu kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia ili kumsaidia kuondokana na addiction ya dawa za kulevya, lakini safari hii ametumia ukurasa wake wa Instagram kulalamika kuwa ameonewa tena japo hakuweka wazi alichofanyiwa. Ray C alianza kupost picha akiwa kwenye gari na kuadika; “NIKIWA […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Afrika Kusini yaonywa na Marekani kuhusu mpango wa kuchukua ardhi za wazungu bila fidia

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo ameonya mipango ya serikali ya Afrika Kusini kunyakua ardhi pasipo fidia kuwa ''utaleta madhara mabaya sana'' kwa uchumi na taifa kwa ujumla.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Tumeanza safari ya uhakika michezoni

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete jana alizindua rasmi kituo cha kuendeleza vipaji vya watoto Kidongo Chekundu, Dar es Salaam na kusema safari ya uhakika ya kuendeleza vipaji kwa watoto imeanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani