Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inatia aibu kuona nchi ina rasilimali lukuki lakini maskini

Kwa miaka mingi sekta ya kilimo hapa nchini imekuwa ikitajwa kuwa na mchango mkubwa katika kutoa ajira hapa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Inatia uchungu kuona tembo anang'olewa meno'

WAFANYAKAZI watatu waliostaafu kazi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wamewasihi wafanyakazi wa shirika hilo kufanya kazi kwa bidii ikiwemo kufichua mitandao ya ujangili wa wanyama unaofanywa na baadhi ya majangili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwigulu: Ni aibu Tanzania kuwa maskini

NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ni aibu kwa nchi ya Tanzania kuwa maskini na tegemezi kwa zaidi ya miaka 50, tangu ilipopata uhuru licha ya...

 

9 years ago

Habarileo

Anayenunua shahada hawezi kuona aibu kuuza haki

WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye mkutano wa kampeni uliohudhuriwa na maelfu ya watu.

 

10 years ago

Mwananchi

Tumeanza kuona umuhimu wa mazoezi lakini tusiparamie bila mpango

Taratibu wimbi la kupunguza unene, kuboresha afya na haiba linashika moto, Afrika. Vijana wanainua vyuma ndani ya ma- Gym; wanawake kwa wanaume wanakimbia na kutafuta wakufunzi. Watanzania wanauliza maswali kuhusu mazoezi kutaka kufahamu la ziada.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenyatta:'Ni aibu lakini hatuna budi'

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amekiri ni jambo la aibu kuwa serikali imelazimika kutoa chakula cha msaada kwa maelfu wanaokumwba na njaa nchini humo

 

11 years ago

Habarileo

Rasilimali za nchi zachotwa kweupe

WAWEKEZAJI kutoka nje, wametajwa kugeuka mawakala wa kutorosha fedha nje ya uchumi wa Tanzania, kiasi cha mabilioni ya Dola za Marekani, ambayo yakibadilishwa, yanafikia matrilioni ya Shilingi. Fedha hizo zimekuwa zikiporwa nchini kutoka serikalini kwa maana ya kukwepa kodi na katika jamii, kupitia ununuzi wa bidhaa nje ya nchi, ambazo thamani yake huchakachuliwa kwa kuongezwa kinyume na thamani halisi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Radi yaandama nchi maskini?

Radi inasemekana kuwaua na kuwajeruhi watu wengi ambao idadi yao inaongezeka kila uchao katika nchi zinazostawi.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA YASISITIZA UWEZESHWAJI WA NCHI MASKINI

Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akijiandaa kuwasilisha mchango na maoni ya Tanzania wakati wa Mkutano wa kumi na Moja wa Kikundi Kazi cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Kikundi Kazi hicho ambacho Tanzania ni mjumbe kilikutana wa wiki moja ambapo kilipitia na kuboresha rasimu ya malengo mapya ya maendeleo baada ya 2015. Walio kaa nyuma wa Balozi ni Dr. Lorah Madete, Afisa Mkuu kutoka Ofisi ya Rais-Tume ya Mipango na Bw. Noel...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pengo la maskini, tajiri kuchafua nchi

MKUU wa Wilaya ya Kongwa, Alfred Msovela, amesema kuna uwezekano wa taifa kuingia katika machafuko kutokana na kuwepo kwa matabaka ya wenye nacho na wasiokuwa nacho. Alisema kutokana na wachache kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani