Mwigulu: Ni aibu Tanzania kuwa maskini
NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa ni aibu kwa nchi ya Tanzania kuwa maskini na tegemezi kwa zaidi ya miaka 50, tangu ilipopata uhuru licha ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Inatia aibu kuona nchi ina rasilimali lukuki lakini maskini
10 years ago
Vijimambo05 Jan
VIJANA NCHINI TANZANIA WAMTAJA MWIGULU NCHEMBA KUWA NDIYE RAIS MPYA WANAYEMTEGEMEA,ASIFIKA KWA KUSIMAMIA KIDETE MASLAHI YA NCHI
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xap1/v/t1.0-9/10906524_1534701896785266_2251235586334794179_n.jpg?oh=35f6e1462487023744e386cb8cf9d278&oe=55299967&__gda__=1429597534_886fd6c4005f2138cf2796df26c47505)
*Vijana wataka chama chake kimpe nafasi
Claudia Kayombo
WAKATI vyama vya siasa havijatangaza majina ya wagombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, vijana mbalimbali wameanza kutoa maoni ya nani anafaa kumrithi Rais Jakaya Kikwete.
Vijana wengi wamesema kuwa, Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba, ndiye anayestahili kumrithi Rais Kikwete kutokana na utendaji wake wa kazi.
Hatua ya vijana kumtaja Nchemba, ni mwendelezo...
10 years ago
Mwananchi21 Jun
Watiania sisi hatujajitakia kuwa maskini
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mghwira: Hakuna sababu ya Watanzania kuwa maskini
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Coronavirus: Kuna uwezekano mkubwa wa watu nusu bilioni kuwa maskini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f*E8U3rGFXpn1FWyrCiJ9WygCkQ9IaIWEfIpojOqBvWP7bPYH*uHeTTQ73P2MH7sQsyuujFvXxN1VQyzsPxAOj5fwJpeYy2e/GIFT.jpg?width=650)
NI AIBU KUWA MPOKEAJI TU WA ZAWADI ZA MPENZI!
11 years ago
Habarileo15 Mar
DC: Ni aibu Sumbawanga kuwa na watu waliodumaa
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amesema ni aibu kwa wakazi wa mkoa wa Rukwa kuwa na watu waliodumaa ilhali mkoa wa Rukwa ambamo Sumbawanga imo ni miongoni mwa mikoa michache nchini inayoongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula, hususan mahindi.
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Owenya: ATCL kuwa na ndege moja aibu
MBUNGE wa Viti Maalumu, Lucy Owenya (CHADEMA), amesema ni aibu kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), kuwa na ndege moja wakati ilikuwa na ndege saba na ina rasilimali ambazo...
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Ni aibu Dar kuwa sugu kwa kipindupindu